Samia: Maendeleo ni haki ya Watanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi katika sekta mbalimbali kujali na kuthamini maendeleo, akisema kuwa ni haki ya Watanzania kuiona nchi yao ikiendelea.

Rais Samia ameyasema hayo leo Julai 14, 2023 , wakati wa uapisho wa viongozi mbalimbali Ikulu, Dar es Salaam na kuwapa neno viongozi hao.

“Tunapotaka maendeleo, Tanzania inayoendelea ni lazima tukae tupange tufikiri, na mimi niwaombe msione woga kwenda kufikiri wala kuja na mapendekezo ambayo mnayaona yanaweza kuendesha Tanzania vizuri.

“Kazi yenu ni kuwaza na kutuletea, halafu vyombo mbalimbali vitakaa tuangalie, kwa kipindi hiki sisi ndio tuliopewa dhamana ya kuleta maendeleo ya Watanzania kwa hiyo wote tukafikiri, tupendekeze, tuamue na tutekeleze kwa ajili ya Watanzania,” amesema Rais Samia.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Patricia S. Pyburn
Patricia S. Pyburn
2 months ago

I work an online job from home and earn 185 dollars per hour. I never imagined I could do it, but my best friend, who makes $15,000 a month at the job, encouraged me to find out more about it. This has limitless possibilities.
.
.
Details Are Here————— https://Fastinccome.blogspot.com/

BarbaraElms
BarbaraElms
2 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE….. https://onlineweb76.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by BarbaraElms
Listrella
Listrella
2 months ago

! Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1

Julia
Julia
2 months ago

Making an additional $15,000 per month from home by just performing copy and paste-style web work. I made $18,000 from this simple job at home. Nowadays, anyone may simply generate additional money online.
.
.
Detail Here—————————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x