Sheikh Jassim ajiondoa kuinunua Manchester United

#MICHEZO: ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa Qatar tajiri, Hamad Jassim Jaber amejiondoa kwenye mchakato wa kuinunua klabu ya Manchester United kutoka kwa wamiliki familia ya Glazers.
Taarifa ya mwandishi wa habari za michezo kutoka Italia, Fabrizio Romano imeeleza baada ya majadiliano ya pande zote mbili, Glazers walikataa kuiuza klabu hiyo, na hivyo Sheikh Jassim kujiondoa.
–
Romano kwenye ukurasa wake wa mtandao wa X amesema kuwa zabuni ya mwisho ilikadiriwa kuwa mara mbili ya hesabu ya soko ya $3.5B.
–
Aidha katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa Sheikh Jassim alikuwa tayari kufanya uwekezaji wa ziada wa $1.5B.
–
Mara kadhaa familia ya Glazers imekuwa ikakataa kuiuza timu hiyo kwa tajiri huyo kutoka Qatar.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. (vga)My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:) GOOD LUCK
For more info visit……… >>> http://www.Smartcash1.com
Last month I GOT payement of nearly $30k, this online work is simple and straightforward, don’t have to go OFFICE, Its home online job.( t03q) You become independent after joining this JOB. I really thanks to my FRIEND who refer me.
Just open the link——->> http://Www.SmartCareer1.com
I’ve earned $64,000 USD so far this year while studying full-time. I’m making a lot of money using an internet business opportunity I learned about. It’s quite user-friendly, and I’m overjoyed that I discovered it.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com