Shilingi mil 165.5 kukamilisha barabara kwamwarabu

NAIBU Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Dk. Festo Dugange amesema Serikali imetenga shilingi milioni 165.5 katika bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara ya kwa Mwarabu.

Akijibu swali bungeni mjini Dodoma, Dk. Dugange  amesema katika utekelezaji wa awamu ya kwanza ya ujenzi itahusisha ujenzi wa mita 200 kwa kiwango cha zege. Aidha, ameongezea kuwa Serikali itaendelea kutenga fedha nyingine kwa ajili ya kukamilisha mradi huo.

Barabara ya Kilungule inajumuisha eneo la kwa Mwarabu katika Manispaa ya Temeke na inaurefu wa kilomita 0.88. Kwa muda sasa, barabara ya Kwa mwarabu  imekuwa  na changamoto ya kutuama kwa maji  hasa katika kipindi cha mvua na hivyo kupelekea barabara hiyo kutopitika. SOMA: Serikali kuimarisha shule jumuishi, yakataza tozo holela

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…

    THIS→→→→ https://Www.FindJobs1.Site

  2. I started this as a simple side hustle, and last month I made a little over $6,137 just working a few hours a day from my phone. If you want to check out how it works, the website has all the details.
    Here—>> http://www.giftpay7.vip

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button