Shirika FiSCh lawa kimbilio watoto wa mitaani
Shirika FiSCh latimiza miaka 18, lazidi kuwa kimbilio la watoto wa mitaani na waliotelekezwa

IRINGA: SHEREHE za kutimiza miaka 18 ya Taasisi ya FiSCh leo zimegeuka kuwa chemchemi ya matumaini na mshikamano, huku mamia ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu, baadhi ya wazazi na wadau mbalimbali wakijumuika katika ukumbi wa Royal Palm, Iringa.
Kwa muda wote wa miaka 18, FiSCh imekuwa ngome ya kupambana na changamoto za watoto wanaoishi mitaani, waliotelekezwa na wazazi au walezi, wanaoishi katika familia masikini kupindukia, na wanaoathirika kwa ukatili wa kijinsia au manyanyaso ya kifamilia.
Wapo pia watoto yatima na wale wanaoishi na wazazi wenye changamoto za kiafya au ulemavu ambao hawawezi kumudu mahitaji yao ya msingi.
Mkurugenzi wa FiSCh, Erasto Nzogole, alisema taasisi inalenga kuwaondoa watoto hao kutoka kwenye mzunguko wa umasikini, maradhi na kuwapambania haki zao.
“Ukiona mtoto yupo mtaani, ujue kuna mtu ameshindwa kutimiza wajibu wake. Ndiyo maana tupo—kuhakikisha watoto hawa wanapata fursa ya maisha bora, afya njema na elimu inayoweza kuwabadilisha,” alisema.
Tangu kuanzishwa kwake, alisema watoto 1,560 wamepata msaada wa kielimu, afya na malezi, huku 800 wakiendelea kusimamiwa hadi leo.
Alisema kati yao, wako wanaosoma shule za msingi na wengine wakiendelea na sekondari huku 25 wakiwa wameshahitimu vyuo vikuu na mmoja akiendelea na masomo ya uzamili katika Chuo Kikuu cha Iringa.
Wengine 79 wamehitimu vyuo vya kati vya ufundi, ikiwemo cherehani, umeme, magari, uchomeleaji na ujenzi, na ushonaji.
Zaidi ya elimu, FiSCh hujihusisha pia na huduma za dharura kwa familia zenye uhaba wa chakula akisema kila mwezi, familia 50 hupokea msaada wa unga, mchele, maharage na mafuta ya kula.
Pamoja na mafanikio yote hayo alisema taasisi yao bado ina changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na uhaba wa vitanda, magodoro, nguo, sabuni, dawa za mswaki na miswaki kwa mahitaji ya kila siku.
Alisema ufadhili wa ndani bado ni mdogo, hali inayokwamisha kufikia idadi kubwa zaidi ya watoto wanaohitaji msaada.
Mjumbe wa Bodi ya FiSCh, Daudi Ezekiel, aliishukuru serikali kwa mchango mkubwa katika kusaidia taasisi hiyo.
“Serikali imetupatia bima za afya kwa watoto, na tumekuwa tukisaidiwa kutoa elimu kwa vijana wetu wanapopatwa na changamoto za kisheria,” alisema.
Dk. Godfrey Mbangali, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Iringa na mgeni rasmi, alitumia sherehe hizo kupongeza FiSCh kwa kazi ya kizalendo.
“Mmejitoa kutoka moyoni. Fedha mnazopata mngeweza kutumia kwa mambo yenu binafsi, lakini mmeamua kuwalea watoto hawa ambao hawakupata fursa hiyo. Huo ni moyo wa kipekee na mnaisaidia serikali kutimiza wajibu wake,” alisema, akiwahimiza wadau wa ndani kuunga mkono jitihada hizo.
Akichangia Sh Milioni kusaidia juhudi za taasisi hiyo, aliwakumbusha viongozi wa dini nafasi yao muhimu katika malezi ya kiroho, kama tiba muhimu ya maisha ya watoto.
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
HIYOHAPO Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z