‘Hapana tena ukatili wa kijinsia’

MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mama Mariam H. Mwinyi, ameendelea kutekeleza kwa vitendo dhamira ya kukomesha ukatili wa kijinsia kupitia kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia inayoendelea nchi nzima.

Kampeni hiyo inalenga kuongeza uelewa wa jamii kuhusu madhara ya ukatili wa kijinsia, mbinu za kujilinda, pamoja na kuhamasisha hatua za pamoja katika kukabiliana na tatizo hilo. SOMA: Ukatili wa Kijinsia Unaendelea Kuathiri Jamii

Takwimu za mwaka 2024 zinaonesha ukubwa wa changamoto hiyo, ambapo kesi 1,809 za ukatili wa kijinsia ziliripotiwa nchini, kati yake 1,525 zikiwa zinawahusu watoto. Hali hiyo imeendelea kuibua kilio cha kuimarishwa kwa ulinzi wa watoto na juhudi za pamoja za jamii katika kupambana na vitendo hivyo.

Katika kuendeleza kampeni Mama Mariam alitembelea Vijana wa Makachu pamoja na vikundi vya wanawake wajasiriamali Forodhani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Ziara hiyo imeongeza hamasa kwa makundi hayo huku ikisisitiza umuhimu wa mshikamano wa wananchi katika kulinda haki na ustawi wa wanawake na watoto.

Akiwa ameambatana na Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya ZMBF, Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo pamoja na watumishi, Mama Mariam alihimiza jamii kuendelea kupaza sauti kupitia ujumbe wa “No More Campaign” kwa kusisitiza kaulimbiu “Hapana Tena kwa Ukatili”.

Kampeni ya Siku 16 inaendelea kuwa jukwaa muhimu la kutoa elimu, kuhamasisha hatua madhubuti na kuimarisha mshikamano wa jamii katika kukomesha ukatili wa kijinsia, huku ikilenga kujenga Zanzibar na Tanzania yenye amani, usawa na ustawi kwa wote.

 

Habari Zifananazo

8 Comments

  1. I am making a good salary from home $7580-$9065/week , which is amazing, under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions, Definitely a try..

    See This Link………………………………….. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

  3. https://sheikhmasud.com/category/dawa-ya-kienyeji-ya-mapenzi/

    Daktari Sheikh Masud Mganga wa Kienyeji anajulikana kama Mganga wa Mapenzi. Sheikh Masud ni mganga wa waganga kutoka Kitui. Uganga wake kwa ajili ya mapenzi umesaidia watu wengi katika masuala ya mapenzi na mahusiano na ana uwezo wa kurudisha mpenzi wako au mpenzi uliyepoteza. Kwa wale wanaotafuta mapenzi kwa mara ya kwanza, Daktari Sheikh Masud Mganga wa Kienyeji ana uganga wenye nguvu wa upendo na mvuto. Uganga wake umethibitika kuwa na uwezo wa kufanya kazi na wapenzi wengi wameridhika sana na huduma yake. Ili ujione mwenyewe, piga simu kwa Daktari Sheikh Masud Mganga wa Kienyeji kwa or +254 105 738 256 .

  4. 🌍 Dr. Galazinga – International African Witch Doctor & Traditional Healer
    With over 30 years of experience in African spiritual healing, Dr. Galazinga is recognized as one of the most powerful and trusted witch doctors in the world. He provides authentic love spells, spiritual cleansing, prosperity rituals, traditional healing, and ancestral divination for clients across Africa, the Middle East, Europe, and North America.

    Whether you are in Kenya, Uganda, Tanzania, South Africa, Nigeria, Egypt, Saudi Arabia, UAE, Qatar, Turkey, the UK, France, Germany, Canada, or the USA, Dr. Galazinga offers both in-person and remote spiritual services to help restore love, protect families, attract wealth, and remove negative energies.

    https://galazingathewitchdoctor.com/

  5. Katika maisha ya kila siku, changamoto za mapenzi na mahusiano ni jambo la kawaida. Wengi hujikuta wakihitaji msaada wa kitaalamu ili kurejesha penzi lililopotea, kuondoa migogoro ya kifamilia, au kuvutia mpenzi wa ndoto zao. Mganga wa mapenzi ni mtaalamu wa kienyeji mwenye maarifa ya kipekee ya kiasili, anayejua mbinu za kuvunja laana, kuondoa husuda, na kuimarisha uhusiano kwa njia salama na za kimaadili.

    Huduma hizi zinajumuisha urejeshaji wa mahusiano yaliyovunjika, kuondoa upweke, kuongeza mvuto wa kiasili, na kutoa kinga dhidi ya nguvu hasi zinazoweza kuharibu uhusiano. Kwa kutumia dawa za miti shamba, dua za kiasili, na tamaduni za jadi, mganga wa mapenzi hutoa suluhisho maalum kwa kila mteja kulingana na hali yake ya kipekee.

    Iwapo umekuwa ukipitia changamoto za kimapenzi au unataka kuimarisha uhusiano wako, huduma za mganga wa mapenzi zinaweza kuwa suluhisho unalotafuta. Kwa usiri na heshima ya hali yako, unaweza kupata mwongozo wa moja kwa moja, matokeo ya haraka, na uhakika wa upendo wa kudumu. Karibu uchukue hatua ya kwanza kuelekea maisha ya upendo yenye furaha na utulivu

    https://chivulunjapowerfulwitchdoctor.co.ke/mganga-wa-mapenzi/

  6. Katika maisha ya kila siku, changamoto za mapenzi na mahusiano ni jambo la kawaida. Wengi hujikuta wakihitaji msaada wa kitaalamu ili kurejesha penzi lililopotea, kuondoa migogoro ya kifamilia, au kuvutia mpenzi wa ndoto zao. Mganga wa mapenzi ni mtaalamu wa kienyeji mwenye maarifa ya kipekee ya kiasili, anayejua mbinu za kuvunja laana, kuondoa husuda, na kuimarisha uhusiano kwa njia salama na za kimaadili.

    Huduma hizi zinajumuisha urejeshaji wa mahusiano yaliyovunjika, kuondoa upweke, kuongeza mvuto wa kiasili, na kutoa kinga dhidi ya nguvu hasi zinazoweza kuharibu uhusiano. Kwa kutumia dawa za miti shamba, dua za kiasili, na tamaduni za jadi, mganga wa mapenzi hutoa suluhisho maalum kwa kila mteja kulingana na hali yake ya kipekee.

    Iwapo umekuwa ukipitia changamoto za kimapenzi au unataka kuimarisha uhusiano wako, huduma za mganga wa mapenzi zinaweza kuwa suluhisho unalotafuta. Kwa usiri na heshima ya hali yako, unaweza kupata mwongozo wa moja kwa moja, matokeo ya haraka, na uhakika wa upendo wa kudumu. Karibu uchukue hatua ya kwanza kuelekea maisha ya upendo yenye furaha na utulivu..

    https://chivulunjapowerfulwitchdoctor.co.ke/mganga-wa-mapenzi/#:~:text=Mganga%20wa%20mapenzi%20ni%20mtaalamu%20wa%20kienyeji%20mwenye,kuimarisha%20uhusiano%20kwa%20njia%20salama%20na%20za%20kimaadili.

  7. Katika maisha ya kila siku, changamoto za mapenzi na mahusiano ni jambo la kawaida. Wengi hujikuta wakihitaji msaada wa kitaalamu ili kurejesha penzi lililopotea, kuondoa migogoro ya kifamilia, au kuvutia mpenzi wa ndoto zao. Mganga wa mapenzi ni mtaalamu wa kienyeji mwenye maarifa ya kipekee ya kiasili, anayejua mbinu za kuvunja laana, kuondoa husuda, na kuimarisha uhusiano kwa njia salama na za kimaadili.

    Huduma hizi zinajumuisha urejeshaji wa mahusiano yaliyovunjika, kuondoa upweke, kuongeza mvuto wa kiasili, na kutoa kinga dhidi ya nguvu hasi zinazoweza kuharibu uhusiano. Kwa kutumia dawa za miti shamba, dua za kiasili, na tamaduni za jadi, mganga wa mapenzi hutoa suluhisho maalum kwa kila mteja kulingana na hali yake ya kipekee.

    Iwapo umekuwa ukipitia changamoto za kimapenzi au unataka kuimarisha uhusiano wako, huduma za mganga wa mapenzi zinaweza kuwa suluhisho unalotafuta. Kwa usiri na heshima ya hali yako, unaweza kupata mwongozo wa moja kwa moja, matokeo ya haraka, na uhakika wa upendo wa kudumu. Karibu uchukue hatua ya kwanza kuelekea maisha ya upendo yenye furaha na utulivu

    https://chivulunjapowerfulwitchdoctor.co.ke/mganga-wa-mapenzi/

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button