Takukuru Arusha yabaini ubadhilifu wa Sh milioni 10 miradi miwili

KATIKA kipindi cha mwezi Juni hadi Agosti mwaka huu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Arusha imefuatilia na kukagua miradi 21 ya maendeleo na miradi miwili imekutwa na viashiria vya ubadhilifu wa jumla ya Sh milioni 10.8

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa mkoani hapa, Zawadi Ngailo alisema kuwa viashiria vya ubadhilifu vimebainika katika miradi ya miwili ya elimu katika Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.

Ngailo alisema kuwa tayari taasisi yake imeshafungua majalada mawili ya uchunguzi dhidi ya wahusika na uchunguzi ukikamilika hatua za kisheria zitachukuliwa.

Alisema Takukuru ilikagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo 21 yenye thamani ya Sh bilioni 15.7 na miradi 19 ilikutwa na mapungufu ikiwemo ucheleweshaji wa miradi kukamilika pamoja na kasoro katika ujenzi.

Zawadi alisema kuwa hatua ilizochukuwa taasisi yake katika miradi hiyo ni pamoja na kutoa elimu kwa wadau na kufanya vikao vya utekelezaji wa miradi ikiwa ni pamoja na kuboresha mapungufu na kuziba mianya ya rushwa iliyobainika.

Alisema katika kipindi cha Oktoba hadi Disemba mwaka huu Takukuru ina mkakati wa kuendelea kutekeleza programu ya Takukuru Rafiki ili kuwapa Wananchi fursa ya kushiriki katika utatuzi wa changamoto zinazowakabili katika meneo yao.

Zawadi alisema kuwa programu hiyo imetekelezwa katika kata 13 ambapo jumla ya kero 14 zilibuliwa na kero 29 ziliweza kupatiwa ufumbuzi.

Alisema pia ofisi yake imejipanga kushirikiana na ofisi ya Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulevya Kanda ya Kaskazini kuelimisha vijana kupitia klabu za wapinga rushwa juu ya madhara ya rushwa na dawa za kulevya katika maendeleo yao ya kitaaluma na maisha kwa ujumla.

Alisema kazi hiyo ni utekelezaji wa makubaliano yaliyoingiwa baina ya Takukuru na Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti dawa za kulevya nchini na Takukuru itaendelea kufuatilia matumizi ya fedha za serikali zinazoelekezwa katika shughuli mbalimbali za maendeleo katika ngazi ya kata,mtaa na vijiji ili kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika kama zilizokusudiwa.

Aidha Takukuru mkoani Arusha inaendelea na jukumu la uchunguzi wa malalamiko ya vitendo vya rushwa yaliyopelekwa katika taasisi hiyo kwa njia mbalimbali katika kipindi hicho jumla ya taarifa 146 zilipokelewa ambapo taarifa za rushwa 125 na zisizo za rushwa 21.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
1 month ago

SERIKALI YA WANYONGE MWAKA 2220
1. Toyota Alphard 2021 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
2. Land Rover Range Rover Vogue 2021 Black in Kinondoni – Cars, thebluesanthonio | Jiji.co.tz
3. Land Rover Range Rover 2019 Burgundy in Kinondoni – Cars, Jm Motors Vigo | Jiji.co.tz
4. BMW X5 2008 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
5. BMW X5 2007 Gray in Kinondoni – Cars, Cars Guru Tanzania | Jiji.co.tz
6. BMW X5 2015 White in Kinondoni – Cars, Franklin Carsforyou | Jiji.co.tz
7. BMW R-Series 2022 Blue in Kinondoni – Cars, Andrew Kingo Jr | Jiji.co.tz
8. Land Rover Range Rover Sport 2014 Blue in Kinondoni – Cars, Ndingabeipoa Tz | Jiji.co.tz
CAR Repair Home Services 24 Hours
ELIMU BURE/BILA MALIPO

Capture.JPG
Kathyalter
Kathyalter

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Kathyalter
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUM
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUM
Reply to  Kathyalter
1 month ago

THE KINGDOM IDEOLOGY WILL BE ESTABLISHED THROUGH A NEW CONSTITUTION… WHAT KIND OF TRIBE DO YOU THINK HE’S GOING TO COME FROM?

Capture.JPG
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
ULIKUWA NA MRADI/PROJECT YA MATRILIONI WAKATI SUMU
1 month ago

SERIKALI YA WANYONGE MWAKA 2220
1. Toyota Alphard 2021 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
2. Land Rover Range Rover Vogue 2021 Black in Kinondoni – Cars, thebluesanthonio | Jiji.co.tz
3. Land Rover Range Rover 2019 Burgundy in Kinondoni – Cars, Jm Motors Vigo | Jiji.co.tz
4. BMW X5 2008 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
5. BMW X5 2007 Gray in Kinondoni – Cars, Cars Guru Tanzania | Jiji.co.tz
6. BMW X5 2015 White in Kinondoni – Cars, Franklin Carsforyou | Jiji.co.tz
7. BMW R-Series 2022 Blue in Kinondoni – Cars, Andrew Kingo Jr | Jiji.co.tz
8. Land Rover Range Rover Sport 2014 Blue in Kinondoni – Cars, Ndingabeipoa Tz | Jiji.co.tz
CAR Repair Home Services 24 Hours
ELIMU BURE/BILA MALIPO.

Capture.JPG
Angila
Angila
1 month ago

Start your home business right now. Spend more time with your family and earn. Start bringing 99Dollars per hr just on a computer.(Qm) Very easy way to make your life happy and earning continuously…
.
.
.
This is where i started…>> http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x