Tanzania, ATIDI kuendelea kuimarisha uwekezaji

DAR ES SALAAM :TANZANIA inaendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia ushirikiano wake na Shirika la Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Barani Afrika (ATIDI).

Shirika hilo limekuwa likidhamini miradi mikubwa ya sekta ya umma na binafsi, ikiwemo reli ya kisasa (SGR) na miradi mingine yenye thamani ya takriban dola bilioni 7.8, hatua inayosaidia kupunguza hatari na kuvutia wawekezaji wa ndani na wa kimataifa.

Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amesema mchango wa ATIDI umeimarisha uwekezaji nchini na kurahisisha utekelezaji wa miradi ya kimkakati na kwamba ushirikiano huu ni nguzo muhimu katika kufanikisha mageuzi makubwa ya kiuchumi yanayotarajiwa katika Dira ya Maendeleo 2025.

Amesisitiza kuwa ushirikiano kati ya sekta ya umma, binafsi na taasisi za kifedha ni muhimu ili kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa ufanisi na kuvutia mitaji zaidi.

Ofisa Mwandamizi wa Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Barani Afrika (ATIDI) Albert Rweyemamu, amesema shirika lake linaendelea kutoa dhamana na suluhisho za bima kwa miradi mikubwa, hatua inayowawezesha wawekezaji kupunguza hatari na kuongeza tija,Majukwaa kama haya yanasaidia kuvutia mitaji na kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa usahihi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo Tanzania (TIB), Deogratius Kwiyukwa, amesema uwepo wa ATIDI unachangia kuimarisha imani ya wawekezaji, hasa katika miradi mikubwa ya kimkakati,amesema makampuni ya bima na mashirika ya kifedha yana nafasi muhimu katika kupunguza hatari na kuendeleza ushirikiano wa PPP ili kuchochea ukuaji wa uchumi.

Habari Zifananazo

4 Comments

  1. SHERIA YA VIJIJI VYA UJAMAA VILIVYOJENGWA KWA LAZIMA ANAVYOVIJUA BOSS AMBAVYO HATUJADHARAU 1.- NCHI IWE NA MAGAZETI NA TV CHANNEL NYINGI 2- KILA MTU LAZIMA APATE HABARI 3. - LAZIMA BOSS AWE JINSIA TOFAUTI NA WEWE says:

    [Chorus: A.T., Ray C]
    We mama
    Eh
    Ntilie, unijazie
    Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
    We mama
    Eh
    Ntilie, nifurahie
    Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie

    [Verse 1: A.T.,Gelly Wa Rhymes,Ray-C]
    We mama nipe kidogo
    Ile nijikune kisogo
    Leo mimi nimekuja ni kigogo
    Nikae ila usilete zogo
    Mama unitilie, unijazie
    Na kama nitamwaga, sitozoa mie
    Nipe utamu, utamu, mashamu, shamu
    Mpaka mimi ni nipandwe na wazimu, yeah
    Basi wacha papara, nikikupa utalala
    Hapa ni pa biashara, na utakuja nikera

    [Chorus: A.T., Ray C]
    We mama
    Eh
    Ntilie, unijazie
    Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
    We mama
    Eh
    Ntilie, nifurahie
    Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie

  2. SHERIA YA VIJIJI VYA UJAMAA VILIVYOJENGWA KWA LAZIMA ANAVYOVIJUA BOSS AMBAVYO HATUJADHARAU .- NCHI IWE NA MAGAZETI NA TV CHANNEL NYINGI 2- KILA MTU LAZIMA APATE HABARI 3. - LAZIMA BOSS AWE JINSIA TOFAUTI NA WEWE says:

    [Chorus: A.T., Ray C]
    We mama
    Eh
    Ntilie, unijazie
    Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
    We mama
    Eh
    Ntilie, nifurahie
    Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie

    [Verse 1: A.T.,Gelly Wa Rhymes,Ray-C]
    We mama nipe kidogo
    Ile nijikune kisogo
    Leo mimi nimekuja ni kigogo
    Nikae ila usilete zogo
    Mama unitilie, unijazie
    Na kama nitamwaga, sitozoa mie
    Nipe utamu, utamu, mashamu, shamu
    Mpaka mimi ni nipandwe na wazimu, yeah
    Basi wacha papara, nikikupa utalala
    Hapa ni pa biashara, na utakuja nikera

    [Chorus: A.T., Ray C]
    We mama
    Eh
    Ntilie, unijazie
    Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
    We mama
    Eh
    Ntilie, nifurahie
    Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie

  3. SHERIA YA VIJIJI VYA UJAMAA VILIVYOJENGWA KWA LAZIMA ANAVYOVIJUA BOSS AMBAVYO HATUJADHARAU .- NCHI IWE NA MAGAZETI NA TV CHANNEL NYINGI 2- KILA MTU LAZIMA APATE HABARI 3. - LAZIMA BOSS AWE JINSIA TOFAUTI NA WEWE says:

    [Chorus: A.T., Ray C]
    We mama
    Eh
    Ntilie, unijazie
    Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
    We mama
    Eh
    Ntilie, nifurahie
    Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie

    [Verse 1: A.T.,Gelly Wa Rhymes,Ray-C]
    We mama nipe kidogo
    Ile nijikune kisogo
    Leo mimi nimekuja ni kigogo
    Nikae ila usilete zogo
    Mama unitilie, unijazie
    Na kama nitamwaga, sitozoa mie
    Nipe utamu, utamu, mashamu, shamu
    Mpaka mimi ni nipandwe na wazimu, yeah
    Basi wacha papara, nikikupa utalala
    Hapa ni pa biashara, na utakuja nikera

    [Chorus: A.T., Ray C]
    We mama
    Eh
    Ntilie, unijazie
    Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
    We mama
    Eh
    Ntilie, nifurahie
    Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie.

  4. S­­t­­a­­r­­t m­­a­­k­­i­­n­­g c­­a­­s­­h r­­i­­g­­h­­t n­­­­ow­­… G­­e­­t m­­o­­r­­e t­­i­­m­­e w­­i­­t­­h y­­o­­­­u­­r f­­a­­m­­i­­l­­y b­­y d­­o­­i­­n­­g j­­o­­b­­s t­­h­­a­­t o­­n­­l­­y r­­e­­q­­u­­i­­r­­e ­­f­­o­­r y­­o­­u­­ t­­o ­­h­­a­­v­­e a c­­o­­m­­p­­u­­t­­e­­r a­­n­­d a­­n i­­n­­t­­e­­r­­n­­e­­t a­­c­­c­­e­­ss ­­­­a­­n­­­­d ­­y­­o­­u ­­c­­a­­n h­­a­­v­­e t­­h­­­­a­­t ­­a­­t y­­o­­u­­r h­­o­­m­­e. S­­t­­a­­rvt b­­r­­i­­n­­g­­i­­n­­g ­­u­­p t­­o $­­18­­0­­1­­2 ­­a m­­o­­n­­t­­h. I’v­­e s­­t­­a­­r­­t­­e­­d t­­h­­i­­s j­­o­­b a­­n­­d I’v­­e n­­e­­v­­e­­r b­­e­­e­­n h­­a­­p­­p­­i­­e­­r a­­n­­d­­ n­­o­­w I a­­m s­­h­­a­­r­­i­­n­­g i­­t w­­i­­t­­h y­­o­­u, s­­o­­ yo­­u c­­a­­n t­­r­­y i­­t t­­o­­o. Y­­o­­u c­­a­­n c­­h­­e­­ck i­­t ou­­t h­­er­­e…

    HERE→→→→→ https://PayAtHome1.Com/

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button