Tanzania yapongezwa mifumo utoaji huduma

TANZANIA imepongezwa kwa kupiga hatua chanya katika mwelekeo kuunganisha mifumo ya utoaji huduma ya malipo yasiyotumia pesa taslimu, na uundaji wa miundo ya jumla ya serikali katika ngazi zote za serikali unaongeza na kudhibiti mapato.

Lakini pia asasi za kiraia hutoa mchango muhimu katika kisogeza uelewa wa Wananchi juu ya masuala muhimu ya kimaendeleo katika kutetea rushwa au kupinga ukatili wa kijinsia, lakini pia kueleza serikali changamoto wanazokumbana nazo katika kuleta haki na usawa.

Pongezi hizo zimetolewa na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Didier Chassot kwenye wa uzinduzi wa wiki ya Azaki inayofanyika Jijini Arusha na kukutanisha NGOs kutoka ndani na nje ya nchi.

Chassot amesema ukusanyaji wa fedha kwa kutumia mfumo huo unaotekelezwa na serikali umewezesha kuunganisha uundaji wa miundo ya jumla ya serikali katika ngazi zote za serikali na kupelekea ukusanyaji mapato kubwa mzuri sanjari teknolojia kukua.

“Kama tunataka twende mbele kidigitali lazima sasa Azaki twende na mifumo hii ya kidigitali ambazo zitaongeza ufanisi na uwazi katika upatikanaji wa data za NGOs ambayo ikitumiwa vema italeta manufaa zaidi”

Naye Doreen Dominic ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Sekta za Umma wa Benki ya Stanbic, itaendelea kuboresha huduma zao kidigitali sanjari na kuboresha maisha ya watanzania hususani vijana na wanawake katika kuwapatia maendeleo.

Huku, Mrajisi wa Asasi za Kiraia kutoka Zanzibar Ahmed Khalid Abdulla amezitaka asasi za kiraia kusaidia jamii katika kufikisha taarifa za matumizi sahihi ya kidijitali ili waweze kutumia kama dursa zilizopo katika kujikwamua kiuchumi na maendeleo endelevu.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Daphine Vang
Daphine Vang
1 month ago

I am making over $30k a month working part time. I am a full time college student and just working for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use this Following Website

More infor… http://Www.Smartwork1.Com

Last edited 1 month ago by Daphine Vang
LynseyHarris
LynseyHarris
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by LynseyHarris
Julia
Julia
1 month ago

I have just received my 3rd paycheck which said that $16,285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily.
.
.
Detail Here———————————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

Marry
Marry
1 month ago

I’m currently generating over $35,100 a month thanks to one small internet job, therefore I really like your work! I am aware that with a beginning capital of $28,800, you are presently making a sizeable quantity of money online.
.
.
Just open the link——->> http://Www.Smartcareer1.com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x