Tax afanya ziara chuo cha Diplomasia Indonesia

WAZIRI  wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax ameendelea na ziara yake nchini Indonesia  na kutembelea chuo cha Diplomasia cha Indonesia.

Waziri Tax pamoja na ujumbe wake, walipokelewa chuoni hapo na Mkuu wa Chuo hicho, Mohammad Koba.

Kufuatia ziara hiyo, Tanzania na Indonesia zimekubaliana kuanzisha ushirikiano baina ya vyuo vya Kidiplomasia, ikiwa ni pamoja na kubadilishana uzoefu  katika maeneo mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa chuo na Programu za mafunzo kwa Wanadiplomasia, na kubadilishama ujuzi kwa walimu na wanafunzi wa vyuo hivyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
TraceyMendoza
TraceyMendoza
3 months ago

Everyone can make money now a days very easily…dd…..I am a full time college student and just w0rking for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use… This Following Website.—–>>> https://onlineweb76.blogspot.com/

Last edited 3 months ago by TraceyMendoza
Kim
Kim
3 months ago

Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job.  
….
Open This Website………………>>>  http://www.Richcash1.com

Last edited 3 months ago by Kim
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x