Tembo 500 kupelekwa Burigi, Hifadhi Rumanyika

TEMBO 500 wanatarajiwa kuhamishwa kutoka kwenye msitu unaozunguka Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera na kupelekwa hifadhi ya Burigi Chato na Hifadhi ya Rumanyika.
Hayo yamesemwa na Mhifadhi Mkuu wa Burigi Chato Ismaily Omary leo Oktoba 4, 2023 jijini Dar es Salaam ambapo amesema tembo waliopo kwenye msitu huo wamekuwa wakivamia makazi ya wananchi na kufanya uharibifu mkubwa.
Amesema, sababu kubwa ya |Tembo kwenda kwenye makazi yao wananchi ni kutokana na njia yao kuzibwa na Kiwanda cha sukari cha Kagera ‘Kagera Sugar’ na Ranchi ya Kitengule.
“Kutokana na kupanuka kwa kiwanda cha Kagera Sugar na Ranchi ya Kitengule maeneo ya Tembo ambayo wangepita yamezibwa hivyo wanashindwa kumove na matokeo yake wanaingia kwenye makazi ya wananchi.”Amesema Ismaily.
Amesema, tembo hao wamekuwa wakivamia maeneo ya wananchi katika vijiji tisa vya wilaya ya Karagwe, Bukoba na Misenyi na kuleta hofu kubwa.
Amesema vijiji ambavyo vinaathirika vitatu ni vya wilaya ya Bukoba, vijijini vinne vya wilaya ya Karagwe na vijiji viwili vya wilaya ya Misenyi.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
★ Join this most wonderful and cool online home based job and start making more than $700 every day. I made $24583 last month, ( i55q) which is incredible, and I strongly encourage you to join and begin earning money from home. Simply browse to this website now for more information.
Click and Copy Here═══►►► http://Www.SmartCareer1.com
WAZEE WA KULA JICHO HUWA MNATUMIA MBOOO SIZE GANI KUINGIZA KWENYE JICHO
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg