TRA yatoa elimu ya mlipakodi kahama

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa kikodi Kahama imetoa elimu kwa watu wenye walemavu  wa kutosikia (viziwi ) namna ya kuwa wazalendo katika  ulipaji kodi.

Ofisa mawasiliano na elimu kwa mlipakodi kutoka mamlaka hiyo, Aniceth Ndailagije amesema hayo  jana katika mafunzo ya siku moja kwenye Chama Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) kwa Wilaya ya Kahama inayojumuisha Halmashauri Msalala, Ushetu na Manispaa Kahama.

“Tunaomba elimu hii mmeipata mkatoe ushirikiano na muwe mabalozi wazuri kwa wengine  kwa kuzifahamu  sheria na kanuni zake ikiwa kila mwaka wa fedha serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imeenda ikiziboresha zaidi na mzisome au kuomba ufafanuzi kwenye mamlaka husika.” amesema Ndailagije.

Ndailagije amesema kupitia kundi hili na chama chenu mnayo fursa ya kuiwezesha serikali kupata mapato yake stahiki na hatimaye kutoa huduma bora  zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi.

Ndailagije amesema watii  wajibu  wa kulipa kodi  kwani taifa lolote ikiwemo Tanzania  linaendeshwa  kwa shughuli  za fedha zitokanazo na kodi zinazolipwa na wananchi wake.

Ndailagije  amesema elimu iliyotolewa waizingatie kwani  itawajengea uwezo wao wa kusikia kulipa kodi kwa wakati pamoja na kutatua changamoto zao wanazo kutananazo katika mazingira ya biashara.

Zawadi masoudi CHAVITA Wilaya ya Kahama amesema waliiomba mamlaka hiyo kuwapatia elimu ya mlipa kodi  na TRA imewaona  na kuwaletea mafunzo ili waifahamu sheria zilizopo.

“Tunaipongeza mamlaka  hii tumejifunza vitu ambavyo hatukuvijua ikiwa  baadhi yetu ni wafanyabiashara watakuwa wamenufaika.”amesema Zawadi.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
7 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
JOB CREATION
JOB CREATION
1 month ago

WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)..

396913935_270519422649565_3279129179102033513_n-1699514567.7649-232x300.jpg
JOB CREATION
JOB CREATION
1 month ago

WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI).

400691249_864990868631687_149643332150728266_n-1699514610.2614.jpg
JOB CREATION
JOB CREATION
1 month ago

WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)…

400691249_864990868631687_149643332150728266_n-1699514610.2614.jpg
JOB CREATION
JOB CREATION
1 month ago

WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)…..

400652614_122123967464061853_6811123058608430011_n-1699514588.5978-200x300.jpg
namongo FC
namongo FC
1 month ago

WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)..

336385342_23852687669090184_4327056666681808736_n.jpeg
namongo FC
namongo FC
1 month ago

USALAMA KAZI MHE TUTAFANYA KWA AJILI YA “MLIMA KILIMAJARO” – LAZIMA TUFANYE KITU KWA AJILI YA TANZANIA USALAMA WETU TUKITEMBELE

OSK.jpeg
MarieAllen
MarieAllen
1 month ago

Everybody can earn 500 dollars Daily…(Qs) Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 25370 dollars. 
.
.
.
COPY This Website OPEN HERE……….> > > http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
7
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x