Ufanisi Waongezwa Bandari ya Mtwara

MAMLAKA ya Bandari Mkoani Mtwara imesema mwaka huu inashirikiana na sekta binafsi kuendesha Bandari kavu kwa ajili ya kufungasha kontena za korosho ghafi zinazosafirishwa kupitia Bandari hiyo.
Meneja wa Bandari Ferdinand Nyathi amesema hayo leo wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala kukagua maeneo, shughuli na vifaa kwa ajili ya kuhudumia mizigo ya korosho kupitia Bandari ya Mtwara kwa msimu wa korosho 2025/2026.

Nyathi amesema mpango wa kushirikiana na sekta binafsi kupitia CFS (Container Freight Stations) za Bandari ni kuhakikisha ufanisi mkubwa katika kuhudumia mzigo wa korosho.
Mkuu wa mkoa Kanali Patrick Sawala amesema mkoa kwa kushirikiana na mamlaka ya Bandari umetenga eneo kwa ajili ya kufanyia ‘staffing’ ya mizigo ya korosho. SOMA: Korosho Marathon 2025 yaiva
Amesema lengo ni kuhakikisha ufanisi mkubwa kuwawezesha wafanyabiashara na wasafirishaji kusafirisha mizigo yao kwa urahisi na kuendelea kutekelezwa agizo la serikali la kusafirisha korosho kupitia Bandari ya Mtwara.




I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com