Ujenzi kituo cha tahadhari ya Tsunami chafikia 25%

MRADI wa ujenzi wa ofisi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) Kanda ya Mashariki unaojumuisha kituo cha kutoa tahadhari za Tsunami nchini umefikia asilimia ishirini na tano.

Mradi huo unaojengwa kwa sh billion 10 unatarajiwa kukamilika Julai 2024.

Mwenyekiti wa Bodi ya TMA Dk. Buruhani Nyenzi amekagua maendeleo ya mradi huo, uliopo Kanda ya Mashariki na Kituo cha kutoa tahadhari za TSUNAMI nchini, unaotekelezwa katika maeneo ya SIMU 2000, Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa ziara yake, Dk. Nyenzi amesema, chini ya Serikali ya Awamu wa Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, TMA imekuwa wanufaika wakubwa katika uboreshaji wa huduma za hali ya hewa nchini ukiwemo mradi huo ambao utahusika moja kwa moja katika utoaji wa tahadhari za TSUNAMI nchini na hivyo kuongeza tija katika mipango ya nchi.

Aidha, Dk. Nyenzi amefurahishwa na kasi ya ujenzi unavyoendelea kutokana na hatua mbalimbali ambazo mkandarasi amezichukua ikiwa ni pamoja na kufanya kazi muda wa ziada na kuongeza nguvu kazi ili kuhakikisha makubaliano ya kimkataba yaliyowekwa yanafikiwa kwa wakati.

Dk. Nyenzi amesisitiza matumizi ya malighafi zenye ubora na kutoa fursa za ajira kwa wazawa katika mradi huo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
7 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Maryhorton
Maryhorton
22 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 22 days ago by Maryhorton
IsidoraEdie
IsidoraEdie
22 days ago

I am making $162/hour telecommuting. T22 I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $21 thousand a month by working on the web, that was truly shocking for me,she prescribed me to attempt it simply,
Copy And Open This Site————->> http://www.SmartCash1.com

JenniferKevin
JenniferKevin
22 days ago

Work At Home For USA My buddy makes $164/hr on the computer. She has been unemployed for eight months but last month her but pay check was $25,000 just working on the computer for a few hours.
.
.
Detail Here————————————————————–>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Mwananchi Communications
Mwananchi Communications
22 days ago

Rasimu Na. 1

WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20

MUHTASARI WA WARAKA

KICHWA CHA WARAKA
Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).

WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.

MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.

CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.

MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini
.
MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot

MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.

USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala

RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.

W-M A.J.M.K.

XXXXXXXXXXX

hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda
jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)
mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)
mkapa (kuplant those inspiration)
jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)
magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)
ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu

XXXXXXX

Capture-1693290550.1221-240x300.jpg
Mwananchi Communications
Mwananchi Communications
22 days ago

Rasimu Na. 1..

WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20

MUHTASARI WA WARAKA

KICHWA CHA WARAKA
Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).

WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.

MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.

CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.

MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini
.
MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot

MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.

USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala

RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.

W-M A.J.M.K.

XXXXXXXXXXX

hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda
jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)
mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)
mkapa (kuplant those inspiration)
jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)
magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)
ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu

XXXXXXX

MAPINDUZI-1693292725.304-231x300.jpg
Mwananchi Communications
Mwananchi Communications
22 days ago

Rasimu Na. 1…

WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20

MUHTASARI WA WARAKA

KICHWA CHA WARAKA
Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).

WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.

MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.

CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.

MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini
.
MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot

MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.

USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala

RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.

W-M A.J.M.K.

XXXXXXXXXXX

hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda
jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)
mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)
mkapa (kuplant those inspiration)
jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)
magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)
ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu

XXXXXXX

Capture.JPG
MAPESA@GMAIL.COM
MAPESA@GMAIL.COM
22 days ago

Kila siku uko PEKE YAKO

download (1).jpeg
Back to top button
7
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x