Ulega aiagiza TBA ujenzi nyumba za gharama nafuu

 DAR ES SALAAM: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameuagiza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kufanya tathmini ya uwezekano wa kujenga nyumba za kupangisha kwa ajili ya wananchi wa kipato cha kati na cha chini.

Maagizo hayo yanalenga kuongeza upatikanaji wa makazi bora na yenye gharama nafuu, hasa katika maeneo ya mijini ambako mahitaji ya nyumba yanaongezeka kwa kasi.

Aidha, hatua hiyo pia inatarajiwa kusaidia kuimarisha sekta ya ujenzi na kuchochea ajira na ukuaji uchumi kupitia uwekezaji wa miradi ya makazi.

Ulega alitoa maagizo hayo wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wenye wajumbe watano akiwemo Mwenyekiti, Dk Laurean Ndumbaro na katibu wake Dar es Salaam jana.

“Ongezeni kasi, tafuteni maarifa, shirikianeni na mabenki, jengeni majengo ya pesa nyingi, ya wateja wenye pesa nyingi, ila jengeni majengo ya gharama nafuu ya watu wa tabaka la chini,” alisema Ulega.

Alisema dhamira ya serikali ni kuona sekta ya ujenzi inakuwa chanzo cha ukuaji wa ajira, uchumi na ustawi wa wananchi wake.

Ulega alisema taasisi zote zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi, ikiwemo TBA, zinapaswa kufanya kazi kwa ubunifu na uwajibikaji ili kutafsiri malengo ya Dira ya Kisera kuwa matokeo chanya.

Alisema serikai inakusudia kufikia ujenzi wa makazi bora 50,000 ifikapo mwaka 2030. Hivyo TBA wana jukumu la kusimamia ujenzi wa nyumba 4,500 kuendelea na kukarabati majengo ya serikali yaliyopo, pamoja na kuimarisha mifumo ya usimamizi ya mali za serikali.

Aidha, kabla ya uzinduzi wa bodi hiyo, Waziri Ulega alikagua ujenzi wa nyumba tatu mpya za ghorofa zilizojengwa na TBA Masaki Dar es Salaam. Nyumba hizo zimejengwa kwa gharama ya Sh bilioni 13 fedha za ndani kutoka kwa wakala huo.

Habari Zifananazo

6 Comments

  1. ### 📢 TANGAZO LA AJIRA

    **Nafasi: Wahariri 323,333 wa Kitabu**

    Kampuni ya **Waja** iliyopo **Dar es Salaam**, inawatangazia nafasi za ajira kwa wahariri wa kitabu chenye kichwa cha habari:

    **“Atupwa Jela Maisha kwa Kuzidisha Umri ambao Mwanaume Anatakiwa Ameoa Mwanamke kwa Lazima Tanzania.”**

    #### 📌 Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kusahihisha maandishi ya kitabu kwa kuzingatia sarufi, mtiririko na mantiki.
    * Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, sheria na utamaduni wa Tanzania.
    * Kufanya marekebisho ya muundo (formatting) na mpangilio wa sura za kitabu.
    * Kushirikiana na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi hatua ya mwisho ya maandalizi ya kuchapisha.

    #### ✅ Sifa za Mwombaji:

    * Awe na elimu ya Shahada au Stashahada katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Lugha au fani inayohusiana.
    * Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au machapisho rasmi.
    * Uwezo mzuri wa lugha ya Kiswahili (na Kiingereza itakuwa faida).
    * Awe mwaminifu, makini na mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.

    #### 📍 Mahali pa Kazi:

    Dar es Salaam (au kwa makubaliano maalum).

    #### 📅 Jinsi ya Kutuma Maombi:

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Nakala za vyeti
    * Mfano wa kazi waliowahi kuhariri

    Maombi yatumiwe ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.

    Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na ofisi za Kampuni ya Waja – Dar es Salaam.

    **Imetolewa na:
    Kampuni ya Waja
    Dar es Salaam, Tanzania**

    1. I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
      .
      HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com

    2. I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…

      .
      M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

  2. Hapa chini ni mfano wa **tangazo la ajira** kwa nafasi ya **Wahariri wa Kitabu**:

    ### 📢 TANGAZO LA AJIRA

    **Nafasi: Wahariri wa Kitabu**

    Kampuni ya **Waja** iliyopo **Dar es Salaam**, inawatangazia nafasi za ajira kwa wahariri wa kitabu chenye kichwa cha habari:

    **“Atupwa Jela Maisha kwa Kuzidisha Umri ambao Mwanaume Anatakiwa Ameoa Mwanamke kwa Lazima Tanzania.”**

    #### 📌 Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kusahihisha maandishi ya kitabu kwa kuzingatia sarufi, mtiririko na mantiki.
    * Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, sheria na utamaduni wa Tanzania.
    * Kufanya marekebisho ya muundo (formatting) na mpangilio wa sura za kitabu.
    * Kushirikiana na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi hatua ya mwisho ya maandalizi ya kuchapisha.

    #### ✅ Sifa za Mwombaji:

    * Awe na elimu ya Shahada au Stashahada katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Lugha au fani inayohusiana.
    * Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au machapisho rasmi.
    * Uwezo mzuri wa lugha ya Kiswahili (na Kiingereza itakuwa faida).
    * Awe mwaminifu, makini na mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.

    #### 📍 Mahali pa Kazi:

    Dar es Salaam (au kwa makubaliano maalum).

    #### 📅 Jinsi ya Kutuma Maombi:

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Nakala za vyeti
    * Mfano wa kazi waliowahi kuhariri

    Maombi yatumiwe ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.

    Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na ofisi za Kampuni ya Waja – Dar es Salaam.

    **Imetolewa na:
    Kampuni ya Waja
    Dar es Salaam, Tanzania**.

  3. Hapa chini ni mfano wa **tangazo la ajira** kwa nafasi ya **Wahariri wa Kitabu**:

    ### 📢 TANGAZO LA AJIRA

    **Nafasi: Wahariri wa Kitabu**

    Kampuni ya **Waja** iliyopo **Dar es Salaam**, inawatangazia nafasi za ajira kwa wahariri wa kitabu chenye kichwa cha habari:

    **“Atupwa Jela Maisha kwa Kuzidisha Umri ambao Mwanaume Anatakiwa Ameoa Mwanamke kwa Lazima Tanzania.”**

    #### 📌 Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kusahihisha maandishi ya kitabu kwa kuzingatia sarufi, mtiririko na mantiki.
    * Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, sheria na utamaduni wa Tanzania.
    * Kufanya marekebisho ya muundo (formatting) na mpangilio wa sura za kitabu.
    * Kushirikiana na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi hatua ya mwisho ya maandalizi ya kuchapisha.

    #### ✅ Sifa za Mwombaji:

    * Awe na elimu ya Shahada au Stashahada katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Lugha au fani inayohusiana.
    * Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au machapisho rasmi.
    * Uwezo mzuri wa lugha ya Kiswahili (na Kiingereza itakuwa faida).
    * Awe mwaminifu, makini na mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.

    #### 📍 Mahali pa Kazi:

    Dar es Salaam (au kwa makubaliano maalum).

    #### 📅 Jinsi ya Kutuma Maombi:

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Nakala za vyeti
    * Mfano wa kazi waliowahi kuhariri

    Maombi yatumiwe ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.

    Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na ofisi za Kampuni ya Waja – Dar es Salaam..

    **Imetolewa na:
    Kampuni ya Waja
    Dar es Salaam, Tanzania**

  4. Hapa chini ni mfano wa **tangazo la ajira** kwa nafasi ya **Wahariri wa Kitabu**:

    ### 📢 TANGAZO LA AJIRA

    **Nafasi: Wahariri wa Kitabu**

    Kampuni ya **Waja** iliyopo **Dar es Salaam**, inawatangazia nafasi za ajira kwa wahariri wa kitabu chenye kichwa cha habari:

    **“Atupwa Jela Maisha kwa Kuzidisha Umri ambao Mwanaume Anatakiwa Ameoa Mwanamke kwa Lazima Tanzania.”**

    #### 📌 Majukumu ya Kazi:

    * Kuhariri na kusahihisha maandishi ya kitabu kwa kuzingatia sarufi, mtiririko na mantiki.
    * Kuhakikisha maudhui yanazingatia maadili, sheria na utamaduni wa Tanzania.
    * Kufanya marekebisho ya muundo (formatting) na mpangilio wa sura za kitabu.
    * Kushirikiana na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi hatua ya mwisho ya maandalizi ya kuchapisha.

    #### ✅ Sifa za Mwombaji:

    * Awe na elimu ya Shahada au Stashahada katika Fasihi, Uandishi wa Habari, Lugha au fani inayohusiana.
    * Uzoefu wa angalau miaka 2 katika uhariri wa vitabu au machapisho rasmi.
    * Uwezo mzuri wa lugha ya Kiswahili (na Kiingereza itakuwa faida).
    * Awe mwaminifu, makini na mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.

    #### 📍 Mahali pa Kazi:

    Dar es Salaam (au kwa makubaliano maalum).

    #### 📅 Jinsi ya Kutuma Maombi:

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Nakala za vyeti
    * Mfano wa kazi waliowahi kuhariri

    Maombi yatumiwe ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili..

    Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na ofisi za Kampuni ya Waja – Dar es Salaam.

    **Imetolewa na:
    Kampuni ya Waja
    Dar es Salaam, Tanzania**

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button