Vance mgombea mwenza wa Trump

MAREKANI: Rais wa zamani wa Marekani ambaye ni mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump amemtangaza Seneta wa Ohio JD Vance kuwa mgombea mwenza, ambaye amepitishwa na wajumbe wa Republican mapema wiki hii.

Soma: Trump atangaza nia kurudi Ikulu Washington

JD Vance ni mjasiriamali aliyeelimika na mwandishi wa riwaya ya kumbukumbu ya maisha yake ya Hillbilly Elegy iliyokuwa na mauzo mazuri ambayo iligeuzwa kuwa filamu.

Advertisement

Imeandaliwa kwa msaada wa mtandao

 

View this post on Instagram

 

A post shared by HABARILEO (@habarileo_tz)