Viongozi wakemea siasa chafu 

VIONGOZI wa vyama vya siasa wamekemea vikali tabia ya baadhi ya wanasiasa wanaotumia vibaya nafasi ya kufanya mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa kwa kutoa lugha za matusi, udahalilishaji na kuugawa muungano.

Wakizungumza katika mKutano wa vyama vya siasa ulioandaliwa na baraza la vyama vya siasa nchini jana jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba amesema katika kufanya mikutano mwanasiasa anaweza kuwa na hoja zake za bandari na akaziwasilisha bila kutaja habari za muungano.

“Ni muhimu mambo haya tukatazama tutumie busara kufanya mikutano mnataka kurudi tunakotoka? yule Bwana alikuwa akiongea wote kimya sasa mnahitaji turudi huko?ameuliza.

Amewataka wanasiasa kutumia nafasi hiyo vizuri na pia kumsubiri Rais Samia aweze kutekeleza yale aliyoyaahidi na kukosoa kistaarabu.

Mwenyekiti wa Chama Cha United Democratic Part (UDP) John Cheyo amesema tangu kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa kidogo kuna mambo yanatia wasiwasi kwani kuna mengi ambayo hawajawahi kuona na wanayaona sasa ambayo yanazungumzwa wazi wazi kama kuvunja muungano hali inayoleta simanzi.

“Sasa tunasikia matusi hadi kiasi cha kudhalilisha kiongozi wa nchi na sasa wanaweza kwenda mataifa mengine kushambulia nchi yao uzalendo uko wapi?tunajiuliza tukiendelea hivi tutakuwa na umoja na tutaendelea kuwa na amani tukaona kwanini tusiite kikao cha wadau tuzungumze,”ameeleza Cheyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
ErmThao
ErmThao
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by ErmThao
julizaah
julizaah
Reply to  ErmThao
1 month ago

My buddy’s mother-in-law gets $80 an hour on the internet. she has been without work for 12 months but last month her earnings was $16778 just working at home for a few hours per week.
.
.
check out this site………… http://www.join.salary49.com

Last edited 1 month ago by julizaah
Julia
Julia
1 month ago

Earn money simply by working online. You are free to work from home whenever you choose. You may earn more than $600 per day working only 5 hours per day online. I made $18,000 with this in my spare time.
.
.
Detail Here———————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Mtumwa Said Sandal
Mtumwa Said Sandal
1 month ago

GMAIL.COM

Tangazo.jpg
Mtumwa Said Sandal
Mtumwa Said Sandal
1 month ago

Chat to Live Support

MAPINDUZI.PNG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x