Wafanyakazi wapewa mbinu za kunufaika na mifuko mbalimbali

WAFANYAKAZI kutoka maeneo mbalimbali wameshauriwa kuwa na utaratibu wa kuhudhuria semina za mara kwa mara zitakazowasaidia kujua haki na manufaa ya kuwa kwenye vyama  vya Wafanyakazi.

Hayo yamesemwa leo Agosti 25, 2023 katika semina iliyokutanisha Wafanyakazi kutoka matawi mbalimbali  Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, ambapo katibu Mkuu Chama za wafanyakazi wa Taasisi za Juu (RAAWU) Joseph Sayo amesema semina hizo zinawasaidia Wafanyakazi kujua mambo mbalimbali yanayojitokeza kwenye mifuko ya Wafanyakazi ili kwenda sambamba na matakwa yao.

Katika hatua nyingine mwanachama wa RAAWU kutoka Zanzibar Dk Mohamed kombo Maalim amesema semina hizo zinawasadia Wafanyakazi kujua mambo muhimu wanayopaswa kufanya wakiwa Watumishi.

kwa upande wao Wafanyakazi wengine wa ambao ni wanachama wa RAAWU wanasema elimu waliyopatiwa itawasaidia katika kuyaendea mambo mbalimbali yanayowahusu wafanyakazi na kuwa mabalozi wazuri kwa wengine.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
SheilMeeks
SheilMeeks
1 month ago

I get paid more than $140 to $170 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this I have earned easily $10k from this without having online working skills . Simply give it a shot on the accompanying site…

ONLY COPY AND OPEN.… https://onlinesite76.blogspot.com

Last edited 1 month ago by SheilMeeks
EdythaCarla
EdythaCarla
30 days ago

Earn income while simply working online. w23 work from home whenever you want. just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here=======================>>> http://www.SmartCash1.com

AnglinaKevin
AnglinaKevin
28 days ago

Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,

MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU INAKUUNGA MKONO

MAPINDUZI.JPG
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x