Walimu ndio msingi wa maendeleo – Biteko




Hafla hiyo imeandaliwa na Chama cha Walimu wilaya ya Bukombe nakuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ili kusheherekea kwa pamoja siku hiyo muhimu ya mwalimu duniani.

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inautambua mchango wa walimu katika kujenga maendeleo ya Taifa.



Hafla hiyo imeandaliwa na Chama cha Walimu wilaya ya Bukombe nakuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ili kusheherekea kwa pamoja siku hiyo muhimu ya mwalimu duniani.