Wamesema!

DAR ES SALAAM: Dar Derby imemalizika kibabe Yanga wameendeleza ubabe dhidi ya Azam Fc.

Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 3-2, magoli ya Yanga yakiwekwa nyavuni na Stephan Aziz Ki wakati magoli ya Azam yakifungwa na Gibril Sillah pamoja na Prince Dube.

Baada ya matokeo hayo Yanga wamefikisha alama 15 sawia na Simba wenye mchezo mmoja pungufu, huku Azam Fc ikisalia na alama 13 ikishuka hadi nafasi ya tatu.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Royal
1 month ago

Google paid 99 dollars an hour on the internet. Everything I did was basic Οnline w0rk from comfort at hΟme for 5-7 hours per day that I g0t from this office I f0und over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>>http://simplwork36.blogspot.com

RosePorter
RosePorter
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by RosePorter
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x