Wamiliki migodi Ipango waomba huduma za mawasilinao

WAMILIKI wa migodi na wafanyabiashara wa madini ya vito Spinel katika kijiji cha Ipango kilichopo mji wa Mahenge wilayani Ulanga mkoani Morogoro wameiomba serikali kupeleka huduma ya mawasiliano ya simu kurahisha shughuli za uchimbaji madini.
Huduma ya upatikanaji wa mawasiliano na nishati ya umeme wa uhakika katika migodi ya spinel inaweza kusaidia shughuli za uchimbaji na wamiliki wa migodi wanaweza kuzalisha zaidi bila kuingia hasara kubwa kama ilivyo sasa.
Akizungumza wa waandishi wa habari wakati wa ziara ya mgodi wa Franone Mining and Gems wanaozalisha madini ya Spinel kwa lengo lakupata elimu kuhusu madini hayo, Meneja Mgodi Elias Thomas amesema wamekuwa na changamoto ya mtandao wa simu za mkononi ambapo mtandao unaopatikana ni mmoja tu ambao pia unapatikana kwa shida.
Thomas amesema huduma ya mawasiliano ya simu za kiganjani ni muhimu hususani maeneo ya migodini kutokana asili ya kazi zao hivyo ni muhimu kwa serikali kulipatia kipaumbele suala hilo.
Aidha Thomas amesema kupitia uzalishaji wa madini ya Spinel wameweza kurudisha kile wanachokipata kwa jamii kwa kujenga nyumba sita kwa wananchi waliokuwa na uhitaji ikiwemo kuboresha miundombinu ya barabara na kujenga vyumba vya madarasa.
Akizungumzia kuhusu kukatika kwa umeme hasa katika maeneo ya migodi amesema hali hiyo inachangia kuendesha uzalishaji kwa hasara hata serikali pia kukosa mapato ambapo amaiomba serikali kuhakikisha maeneo yote ya migodi yanakuwa na umeme wa uhakika.
“Mgodi umetoa ajira kwa vijana zaidi ya 200 ambao ni wazawa na pia tumekuwa tumechangia uchumi wa nchi kwa kuwa waaminifu katika ulipaji wa kodi na tunaahidi serikali kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu pia kuchangia maendeleo ya maeneo yanayotuzunguka ambapo tunachimba madini. “amesema Thomas.
Kwa upande wake Semeni Bakari ambaye ni mama lishe katika mgodi huo ameipongeza ambapo amesema uwepo wa mgodi umesaidia kuwepo kwa miundo mbinu mizuri hasa upande wa barabara ambapo kwa sasa zinapitika muda wote.
Amesema anamshukuru pia mwekezaji mzawa Onesmo Mbise maarufu kwa jina la Onee kwa kuwekeza katika eneo hilo kwa kuwa wameweza kujipatia ajira na wanaendesha maisha yao bila shaka yoyote na wanaendelea kuimarika kiuchumi.
Jesse Mtui ambae ni mfanyakazi wa mgodi huo amesema kupitia mgodi huo ameweza kupata ajira ambayo inamsaidia katika kuendesha maisha yake na kujijenga kiuchumi tofauti na awali.
Ameongeza kuwa kukosekana mawasiliano ya simu za kiganjani yeye kama kijana inampa wakati mgumu kwa kuwa yuko mbali na familia yake hivyo anakosa kuwasiliana nao kwa wakati.
MAMBO YETU MGODI KARIBU UNATEMA
https://www.youtube.com/watch?v=ZKMI1yeHwzc
ULIKUWA NA MRADI WA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PANYA MIA 500
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I’m making $100 an hour working from home. i was greatly surprised at the same time as my neighbour advised me she changed into averaging $100 however I see the way it works now. I experience mass freedom now that I’m my non-public boss.
Moro infor…. http://Www.Smartwork1.Com
In 2023 many people are now joining online jobs very fast because it has potential. i joined this 3 months ago and in 3 months I totally received $50743 and all I was doing is copy and paste stuff in my part time. Join now and start making money:-
.
.
.
From this website: …> > > http://remarkableincome09.blogspot.com
MAMBO YETU MGODI KARIBU UNATEMA
https://www.youtube.com/watch?v=ZKMI1yeHwzc
ULIKUWA NA MRADI WA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PANYA MIA 500..
MAMBO YETU MGODI KARIBU UNATEMA
https://www.youtube.com/watch?v=ZKMI1yeHwzc
ULIKUWA NA MRADI WA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PANYA MIA 500
Hii ni orodha ya vyuo vikuu katika nchi ya Tanzania.
Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU)
Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU)
Chuo Kikuu cha Arusha (UoA)
Chuo Kikuu cha Bukoba
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU)
Chuo Kikuu cha Iringa (UoI)
Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Mwenge (MWECAU)
Chuo Kikuu cha Morogoro (MUM)
Chuo Kikuu cha Mt. Augustino cha Tanzania (SAUT)
Chuo Kikuu cha Mt. Yohana cha Tanzania (SJUT)
Chuo Kikuu cha Muhimbili (MUHAS)
Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU)
Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCO)
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)
Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA)
Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU)
Chuo Kikuu cha Tumaini (TU)
Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MUCCoBS)
Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU)
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT)
Moravian Theological College
MAMBO YETU MGODI KARIBU UNATEMA
https://www.youtube.com/watch?v=ZKMI1yeHwzc
ULIKUWA NA MRADI WA MATRILIONI WAKATI SUMU YA PANYA MIA 500
Hii ni orodha ya vyuo vikuu katika nchi ya Tanzania.
Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU)
Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU)
Chuo Kikuu cha Arusha (UoA)
Chuo Kikuu cha Bukoba
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU)
Chuo Kikuu cha Iringa (UoI)
Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Mwenge (MWECAU)
Chuo Kikuu cha Morogoro (MUM)
Chuo Kikuu cha Mt. Augustino cha Tanzania (SAUT)
Chuo Kikuu cha Mt. Yohana cha Tanzania (SJUT)
Chuo Kikuu cha Muhimbili (MUHAS)
Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU)
Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCO)
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)
Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA)
Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU)
Chuo Kikuu cha Tumaini (TU)
Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MUCCoBS)
Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU)
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT)
Moravian Theological College..
Everybody can earn 500 dollars daily. Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 30,000 dollars.
.
.
Detail Here———————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com