Watoto wote kuwa na vyeti vya kuzaliwa ifikapo 2025

KIGOMA: Serikali imesema kuwa kufikia mwaka 2025 itahakikisha watoto wote chini ya miaka mitano wamesajiliwa kwenye mfumo na kuwa na vyeti vya kuzaliwa.
Hayo yamesemwa na Waziri wa sheria na Katiba,Dk.Pindi Chana Katika uzinduzi wa utioaji huo wa vyeti vya kuzaliwa uliofanyika kwenye viwanja vya Mwanga Community Centre mjini Kigoma.
Waziri Chana ametoa kauli hiyo katika uzinduzi uliohudhuriwa na idadi kubwa ya wakazi wa manispaa ya Kigoma Ujiji na vitongoji vyake ikiwa ni siku ya kwanza ya usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini ya miaka mitano.
Waziri Pindi chana amesema kuwa Mpango huo wa usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa bure kwa watoto chini ya miaka mitano kwa wakati huu ni mpango wa serikali kuhakikisha inawajali, kuwalinda na kuwawekea mipango mbalimbali ya maendeleo yao ya baadaye.
Akizungumza kabla kumkaribisha Waziri Chana kuzindua mpango huo mkoani Kigoma Mkuu wa Wilaya Kigoma Salum Kali kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Kigoma,Thobias Andengenye amesema kuwa kuna jumla ya vituo 443 mkoani humo ambavyo vitatumika kutekeleza mpango huo.
My last salary was $8750, only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt he was when I looked up
his information….. http://Www.Smartcash1.com
I get paid over (250$ to 550$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $35,000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following Link
http://Www.Smartwork1.com
Work from home and get money. You have the option of working from home anytime you choose. Working only 5 hours per day online, you might earn more than $600 each day. In my leisure time, I made $18,000 using this.
.
.
Detail Here————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
Kuwa mtanzania wa Kwanza kumiliki MAVAZI YA KUELEKEA MWEZINI 2023 KWA GHARAMA YA SHILINGI 1 TU YA KITANZANIA
WIZARA YA NDOTO
HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..
UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg