Waziri ashusha kibano TRC

KIGOMA; Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amelitaka Shirika la Reli nchini (TRC), kubadilisha mtazamo wa utendaji kazi wake, ili kuleta ufanisi na kuondoa changamoto nyingi zinazojitokeza katika kuwahudumia wateja.

Waziri Mbarawa amesema hayo mjini Kigoma akizungumza na wafanyakazi wa TRC katika kituo cha reli cha Kigoma na kusema kuwa utendaji wa sasa wa shirika hilo umelifanya kuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wateja sambamba na malalamiko ya kucheleweshwa malipo ya watumishi.

Alisema kuwa kuanzia sasa viongozi na watumishi wa TRC ni lazima wabadilike na kujituma zaidi sambamba na uongozi kubuni na kuweka mikakati ambayo itaongeza ufanisi na faida kwa shirika na badala yake kama mtu hawezi kwenda na kasi hiyo ajiondoe au serikali itamuondoa na kuleta watumishi wengine.

Waziri huyo wa uchukuzi ameeleza kushangazwa na hali hiyo ya utendaji katika kusafirisha mizigo ya abiria, ambapo treni ya mizigo inaweza kuchukua mwezi mmoja kutoka Tanga hadi Kigoma jambo ambalo kwa namna yeytoe haliwezi kuliingizia faida shirika.

Akizungumza kuhusu kauli hiyo ya Waziri Mbarawa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Senzige Kisenge amesema kuwa wamepokea maelekezo ya Waziri na watayafanyia kazi kuleta ufanisi wa shirika.

Kisenge alisema kuwa wakati huu ambapo shirika limekuwa na miradi mikubwa ya ujenzi wa njia za reli na kuleta treni za mwendo kasi, ni wazi mabadiliko makubwa ya usimamizi na kiutendaji yanahitajika hivyo wanapokea maelekezo hayo na kuyafanyia kazi kikamilifu ili kulifanya shirika kuwa na ufanisi mkubwa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com

FloellaRainbow
FloellaRainbow
1 month ago

★My buddy’s mother makes $90 per hour working on the computer (Personal Computer). She hasn’t had a job for a long, ( r99q) yet this month she earned $15,500 by working just on her computer for 9 hours every day.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com

Angles
Angles
1 month ago

Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. (0q)My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:) GOOD LUCK
For more info visit………….. http://www.Smartcash1.com

Julia
Julia
1 month ago

I’m being paid 185 dollars per hour to work on my home computer. I had no clue it was possible, but a close friend made $25,000 in four weeks by completing one outstanding job, and she persuaded me to join.
.
.
Detail Here——————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x