Home/Featured/Waziri Mkuu aanza ziara ya kikazi Temeke Waziri Mkuu aanza ziara ya kikazi Temeke Mwandishi WetuOctober 5, 2024 Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Telegram Sambaza kupitia barua pepe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 5 ameanza ziara ya kikazi katika wilaya ya Temeke, mkoani Dar es Salaam. Katika ziara hiyo Majaliwa atakagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kuzungumza na wananchi pamoja na watumishi wa umma. Mwandishi WetuOctober 5, 2024 Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Telegram Sambaza kupitia barua pepe Sambaza Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Telegram Sambaza kupitia barua pepe Print