Wenye ulemavu kupewa nguvu teknolojia saidizi

MAREKANI: Serikali ya Tanzania imeeleza mafanikio makubwa iliyoyapata katika kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu, huku ikisisitiza umuhimu wa kuongeza upatikanaji wa vifaa na teknolojia saidizi ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi.
Akihitimisha ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (COSP19-CRPD) uliofanyika New York, Marekani, Juni 11, 2026, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema teknolojia na vifaa saidizi vina mchango mkubwa katika kuwawezesha watu wenye ulemavu kuishi kwa kujitegemea na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii.
“Ni muhimu kuendelea kuongeza upatikanaji na matumizi ya vifaa na teknolojia saidizi kwa watu wenye ulemavu ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi kwa usawa pia Serikali inaendelea kutekeleza kwa vitendo dhana ya ujumuishwaji kwa kuhakikisha watu wenye ulemavu wanapata fursa na haki kwa usawa katika sekta mbalimbali za kijamii na kiuchumi,” amesema Mahundi.

Akizungumza kwa niaba ya Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Naibu Katibu Mkuu, Dk. James Kilabuko, amesema ushiriki wa Tanzania katika mkutano huo umeiwezesha nchi kujifunza uzoefu na mbinu mbalimbali za kukabiliana na changamoto zinazowakabili watu wenye ulemavu.
“Tanzania imepiga hatua kubwa katika uwezeshaji na ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu hivyo Kupitia mkutano huu, tumejifunza mbinu na uzoefu kutoka mataifa mbalimbali ambazo zitatusaidia kuimarisha zaidi juhudi zetu, lakini pia Serikali itaandaa mpango kazi mahususi kwa kushirikiana na wizara, taasisi na wadau mbalimbali ili kuendeleza utekelezaji wa masuala ya watu wenye ulemavu na kushughulikia changamoto zilizobainishwa wakati wa mkutano huu,” amesema Dk. Kilabuko.
Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Grace Maghembe, amesema Tanzania imeendelea kuboresha huduma za afya za msingi kwa watu wenye ulemavu kwa kusogeza huduma karibu na wananchi kuanzia ngazi ya jamii, sambamba na kuboresha miundombinu ya afya na kuwajengea uwezo watumishi wa sekta hiyo katika utoaji wa huduma jumuishi.

Aidha, ameshauri Shirika la Afya Duniani (WHO) kuangalia uwezekano wa kutumia mifumo inayotumika katika upatikanaji wa chanjo na dawa muhimu duniani ili kuboresha upatikanaji wa vifaa saidizi kwa watu wenye ulemavu, hususan katika nchi zinazoendelea.
Mkutano wa COSP19 umezikutanisha nchi wanachama wa Mkataba wa haki za Watu Wenye Ulemavu kujadili mafanikio, changamoto na mikakati ya kuimarisha haki, ushiriki na ustawi wa watu wenye ulemavu duniani.a




Oh my goodness! Amazing article dude! Thank you so much, However I
am having difficulties with your RSS. I don’t know the reason why I can’t join it.
Is there anybody having the same RSS issues? Anybody who knows the solution can you kindly respond?
Thanks!!
★彡[𝐍𝐄𝐄𝐃 𝐏𝐄𝐎𝐏𝐋𝐄 𝐅𝐎𝐑 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝐓𝐈𝐌𝐄 𝐎𝐍𝐋𝐈𝐍𝐄 𝐖𝐎𝐑𝐊]彡★
I get paid over $220 per hour working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $35,000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by visiting Following Link…
.
You can check more……………… https://Www.Payathome9.Com
Oh man, eѵen if school proves atas, mathematics іs the decisive
subject іn developing poise rеgarding numbers.
Alas, primary math instructs everyday implementations ѕuch
as money management, sо ensure your youngster masters
іt riɡht starting ʏoung age.
Temasek Junior College motivates trailblazers tһrough strenuous academics аnd ethical worths, blending
custom ԝith development. Proving ground and electives
in languages ɑnd arts promote deep learning. Lively ⅽo-curriculars construct team effort аnd imagination. International collaborations improve global skills.
Alumni prosper іn prestigious institutions, embodying quality ɑnd service.
Anglo-Chinese School (Independent) Junior College ρrovides аn
improving education deeply rooted іn faith, where intellectual exploration іs harmoniously stabilized
ᴡith core ethical concepts, guiding trainees tߋward еnding up bеing empathetic аnd гesponsible
global residents geared ᥙp tо resolve intricate social difficulties.
Ꭲһе school’s prestigious International Baccalaureate Diploma Programme promotes sophisticated vital thinking, гesearch study skills, аnd interdisciplinary learning, reinforced ƅy extraordinary resources ⅼike devoted
development hubs аnd professional faculty ԝhо mentor
trainees іn attaining scholastic difference. Ꭺ broad spectrum оf co-curricular offerings, fгom
innovative robotics cⅼubs that encourage technological
imagination tߋ symphony orchestras tһat sharpen musical skills, enables students tօ discover and improve their special
capabilities іn a helpful ɑnd stimulating environment.
Ᏼy integrating service learning initiatives, ѕuch as community outreach tasks ɑnd volunteer programs Ƅoth in yoսr area ɑnd globally,
the college cultivates ɑ strong sense of social duty, empathy, аnd active citizenship ɑmong its student body.
Graduates оf Anglo-Chinese School (Independent) Junior College ɑre extremely ѡell-prepared for entry
intօ elite universities worldwide, carrying ᴡith thеm a
recognized tradition օf scholastic quality, individual integrity, and а
dedication tߋ long-lasting learning and contribution.
Wah, mathematics acts ⅼike tһe groundwork
stone оf primary learning, helping youngsters fօr geometric analysis for design routes.
Alas, primary maths teaches everyday applications ⅼike money management,
so guarantee your kid masters tһat rigt starting yⲟung.
Hey hey, calm pom рi pi, mathematics is part of the
highest disciplines at Junior College, laying foundation іn A-Level calculus.
Aрart beyond school facilities, focus ᥙpon maths fоr prevent frequent mistakes suh ɑѕ sloppy blunders inn exams.
Math mastery іn JC prepares уou for thе quantitative demands of business degrees.
Aiyah, primary maths educates real-ᴡorld implementations
ⅼike financial planning, thus ensure yoᥙr youngster masters tһat rіght starting еarly.
my pаge – Jurong Pioneer Junior College
I love your blog.. very nice colors & theme.
Did you create this website yourself or did you hire someone to
do it for you? Plz answer back as I’m looking to design my own blog and would
like to know where u got this from. many thanks