Mbwa wa Rais wapotea Malawi

POLISI nchini Malawi wanachunguza wizi wa mbwa wanne wa polisi waliopotea kutoka Ikulu ya Rais mjini Lilongwe wakati wa mpito wa kisiasa mwezi Septemba. Taarifa kutoka Ikulu ya Malawi zinaeleza kuwa Godfrey Arthur Jalale, aliyekuwa kiongozi wa wafanyakazi wa Ikulu chini ya Rais wa zamani Lazarus Chakwera, amekamatwa kuhusiana na tukio hilo.

Mbwa hao, aina ya German Shepherd, wanadaiwa kuwa na thamani ya dola za Marekani 2,300 (takriban Sh. 6.4 milioni), na walitolewa nje ya jumba hilo kati ya Septemba 19 na Oktoba 4, kulingana na waendesha mashtaka. Jeshi la Polisi linaendelea kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio hili, ambalo limeibua wasiwasi mkubwa katika vyombo vya usalama nchini humo. SOMA: Namna ya kufanya mbwa asile chakula cha adui

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button