YANGA imekamilisha usajili wa beki wa kulia, Kouassi Attohoula kutoka Asec Mimosas kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Beki huyo (26) raia wa Ivory coast atakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
Comments are closed.
Comments are closed.