Year: 2025

Afya

MOI kutoa matibabu bure kwa wazee Dar

TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeandaa kambi maalum ya uchunguzi na ushauri wa kitabibu ya siku…

Soma Zaidi »
Gesi

Dalili gesi asilia zaonekana kitalu cha Lindi – Mtwara

MTWARA: UTAFITI unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa gesi asilia, hususani katika vijiji…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Mwinyi: Hakuna atakayebaguliwa, wote ni wazanzibari

MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwa serikali yake itaendelea kuwajali wananchi wote bila…

Soma Zaidi »
Tanzania

Viongozi wa dini watoa wito kudumisha amani

DAR ES SALAAM: VIONGOZI wa dini kutoka madhehebu mbalimbali nchini wamekutana kujadili umuhimu wa kudumisha amani, haki na maridhiano hasa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Michelle Obama : Nguvu ya Mwanamke Katika Ndoa, Elimu na Siasa

KUTOKA mitaa ya Chicago hadi Ikulu ya Marekani, Michelle LaVaughn Robinson Obama ameendelea kuwa kielelezo cha mwanamke jasiri, mwenye maono…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mikakati yasukwa kuboresha afya kinywa na meno

DAR ES SALAAM: Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimeendesha Kongamano la 15 la Afya ya Kinywa…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Shujaa wa Demokrasia Ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel 2025

DUNIA imeelekeza macho yake Venezuela, ambako sauti ya mwanamke jasiri imekuwa alama ya matumaini mapya. María Corina Machado, kiongozi wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Profesa Chibunda: Utafiti ni nguzo ya maendeleo

CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA,) kitaendeleza mpango wa utoaji ruzuku ya fedha ili kusaidia watafiti wachanga wa ndani…

Soma Zaidi »
Gesi

PURA yaweka msisitizo elimu miradi kwa wananchi

MTWARA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeelekeza nguvu zake katika utoaji wa elimu kwa wananchi kuhusu miradi…

Soma Zaidi »
Featured

Kampeni kufuta taarifa za kizushi iwe endelevu

KATIKA dunia ya sasa yenye kasi kubwa ya teknolojia, mawasiliano yamekuwa rahisi kupitia simu janja, mitandao ya kijamii na majukwaa…

Soma Zaidi »
Back to top button