Year: 2025

Biashara

Matinyi aongoza ujumbe wa Tanzania Oslo

BALOZI wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi aliongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Biashara kati ya nchi za Nordic…

Soma Zaidi »
Chaguzi

ACT Wazalendo kuongeza thamani ya bidhaa

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT–Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema serikali atakayoiongoza itaweka mkazo katika kuzipa thamani bidhaa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Hemed aahidi kufufua michezo Kiwani

MGOMBEA wa Uwakilishi Jimbo la Kiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali ya Awamu ya Nane…

Soma Zaidi »
Siasa

Ngajilo ajiita “Moto Ulao”, aapa kukemea ubadhirifu Iringa Mjini

IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, amejiita “moto ulao” akiahidi kuwa,…

Soma Zaidi »
Tanzania

OCPD yajifunza mifumo ya kisasa uandishi wa sheria

WAANDISHI wa Sheria kutoka Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD) wamefanya ziara ya mafunzo nchini Uingereza, ikiwa ni sehemu…

Soma Zaidi »
Mafuta

Puma Energy: Tunajifunza kupitia maoni ya wateja

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah, amesema kampuni hiyo itaendelea kuweka wateja kuwa kiini cha…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watu wenye ulemavu watakiwa kupiga kura

MOROGORO: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro imewashauri watu wenye ulemavu waliojiandikisha kwenye daftari la…

Soma Zaidi »
Tanzania

CRDB wakabidhi madawati 150 Mbulu

MANYARA: Benki ya CRDB imekabidhi madawati 150 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu na Wilaya ya Babati mkoani Manyara ili…

Soma Zaidi »
Tanzania

Viongozi wa dini wakumbushwa kupiga kura

MWANZA: VIONGOZI wa dini wa madhehebu ya kikristo mkoani Mwanza wamekumbuswa juu ya umuhimu ya upigaji kura pamoja na kuwakumbusha…

Soma Zaidi »
Tanzania

Waandishi wa habari wafundwa haki, usawa uchaguzi mkuu

MTWARA: WAANDISHI wa Habari mkoani Mtwara wamepewa mafunzo kuhusu kuripoti kwa kuzingatia haki na usawa kwenye mchakato mzima wa uchaguzi…

Soma Zaidi »
Back to top button