Year: 2026

Tanzania

Masauni: Serikali imeimarisha ushirikiano kimataifa

ZANZIBAR: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema serikali imeimarisha ushirikiano wa kimataifa na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Takukuru Mtwara yaokoa mil 15/- AMCOSS

MTWARA: TAASISI ya kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imedhibiti upotevu wa zaidi ya Sh milioni 15.3…

Soma Zaidi »
Tanzania

FCC kuongeza uelewa haki, wajibu

DAR ES SALAAM: TUME ya Ushindani (FCC) imetangaza kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki ya Mlaji Duniani kwa kuendesha kampeni…

Soma Zaidi »
Tanzania

Vituo 23 vya kukusanyia maziwa vyazinduliwa

KAGERA: Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), na Serikali imezindua rasmi vituo 23 vya kukusanyia maziwa (Milk Collection Centers…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mpango mbadala waja kukabili upungufu madarasa

GEITA: MKOA wa Geita umeazimia kushirikisha wadau wa sekta ya elimu kuchangia ujenzi wa miundombinu kama mpango mbadala wa kukabili…

Soma Zaidi »
Tanzania

Samia kuweka jiwe la msingi ujenzi matanki ya mafuta Dar

DAR ES SALAAM:RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kesho Machi 3, 2026 katika hafla ya uwekaji…

Soma Zaidi »
Madini

Serikali, Lifezone wajadili Mradi wa Kabanga

MSAJILI wa Hazina,Nehemiah Mchechu, amekutana na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Lifezone Metals Limited, Keith Liddell, kujadili maendeleo ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanafunzi wenye ulemavu wapewa tabasabu Moro

  MOROGORO: SHIRIKISHO wa Walimu Wanawake Wilaya ya Morogoro limewafariji  wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma katika kitengo cha watoto wenye mahitaji…

Soma Zaidi »
Tanzania

Waliopora ardhi wapewa wiki moja

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewapa muda wa wiki moja watu wote waliopora au kutapeli ardhi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi

WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, amekagua ujenzi wa barabara ya Mbulu – Garbabi (km 25), ambayo ni sehemu ya mradi…

Soma Zaidi »
Back to top button