Year: 2026

Featured

‘Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa ni alama ya ukomavu’

DODOMA: Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dk Samia Suluhu Hassan, amesema jengo jipya la Makao Makuu ya Ulinzi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Neema yaja wahandisi vijana

DAR ES SALAAM: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametangaza mkakati wa kukuza ubunifu wa wahandisi wa ndani kwa kuahidi kuzawadia…

Soma Zaidi »
Featured

Rais Samia azindua Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa

DODOMA; Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dk Samia Suluhu Hassan akipiga light pistol juu kuashiria uzinduzi wa jengo…

Soma Zaidi »
Biashara

Siku 100 za Rais Samia zinavyoashiria mapinduzi ya kilimo

KATIKA siku 100 za mwanzo za uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea na…

Soma Zaidi »
Tahariri

Waziri Mkuu ameonesha njia viongozi, watendaji waifuate

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameendelea na ziara zinazoambatana na mikutano ya hadhara katika mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha.…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Gyokeres ameanza kuwaliza

ENGLAND: Mabao mawili aliyofunga dhidi ya ‘Spurs’ yanamfanya mshambuliaji wa Arsenal, Viktor Gyokeres kuwa wenye mabao mengi kuliko mchezaji yoyote…

Soma Zaidi »
Uchumi

TANROADS, TARURA Kagera wateta na wadau wa barabara

KAGERA; WAKALA wa Barabara (TANROADS) na wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura), wamekutana na wadau mbalimbali wa barabara…

Soma Zaidi »
Afya

Jengo la bil 2/- kusaidia watoto njiti Kwimba

MWANZA: TAASISI ya Doris Mollel imefanikisha ujenzi wa jengo jipya la kisasa maalumu kwa ajili ya kutoa huduma bora kwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Kilimo kinahitaji uwekezaji wa kutosha’

MOROGORO: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema ili kufikia malengo ya Dira ya…

Soma Zaidi »
Madini

CRDB yaja na dhamana mbadala wachimbaji madini

SERIKALI kupitia Tume ya Madini, Benki ya CRDB na wachimbaji wadogo wamesaini mpango maalumu wa mikopo kwa wachimbaji wadogo wa…

Soma Zaidi »
Back to top button