Year: 2026

Tanzania

‘Mawakala ajira binafsi zingatieni mwongozo’

DAR ES SALAAM: Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu amewataka mawakala binafsi wa…

Soma Zaidi »
Utalii

SMZ, Infinity kushirikiana mradi wa uhifadhi utakaogharimu dola mil 12 

Zanzibar: Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale pamoja na Wizara ya Kazi na Uwekezaji,…

Soma Zaidi »
Jamii

Bilioni 192 zatengwa miradi ya maendeleo Temeke

DAR ES SALAAM: BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Temeke limepitisha rasimu ya bajeti kwa mwaka wa fedha…

Soma Zaidi »
Jamii

KAGIS yagusa maisha ya Watanzania 123,000 mikoa 2

MRADI wa Uwezeshaji Wasichana Balehe kuendelea na Masomo (KAGIS) umesaidia takribani watu 123,489 katika mikoa ya Geita na Kigoma kwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

TFS kuimarisha huduma kwa wananchi, mazingira bora ya kazi kwa vijana

KAMISHNA wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof Dos Santos Silayo, amewataka viongozi na makamanda wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kamati yashauri matumizi gesi asilia yaongezwe nchini

DAR ES SALAAM :KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetembelea kituo mama cha kushindilia gesi asilia cha…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Masauni ahimiza wanafunzi Zanzibar kulinda, kuenzi Muungano

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa vyuo vya…

Soma Zaidi »
Jamii

Waziri Mkuu aipa Wizara ya Maji wiki 2 kupata mkandarasi

WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba ameipa Wizara ya Maji kipindi cha wiki mbili kuhakikisha inakamilisha mchakato wa upatikanaji wa mkandarasi…

Soma Zaidi »
Africa

Mfuko wa Miundombinu Kenya Wakwama

MPANGO wa kuanzisha mfuko wa kitaifa wa miundombinu nchini Kenya umekumbwa na changamoto mbalimbali ambazo zimezua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali…

Soma Zaidi »
Jamii

CCT yaunga mkono juhudi za serikali kujenga mahusiano

JUMUIYA ya Kikristu Tanzania (CCT) imepongeza jitihada za Serikali kukuza ari ya mahusiano miongoni mwa jamii ya kitanzania hatua itakayosaidia…

Soma Zaidi »
Back to top button