TCU kushusha rungu kwa vyuo vitakavyokaidi maelekezo

DAR ES SALAAM: TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imetoa maelekezo yanayopaswa kufuatwa kwa vyuo vya elimu ya juu na waombaji wapya katika mchakato wa udahili unaondelea kwa sasa.
TCU imesema haitasita kuchukua hatua kwa vyuo ambavyo vitakwamisha waombaji wa vyuo kushindwa kufanya udahili kwa vyuo wanavyotaka.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Mtendaji Tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU,) Profesa Charles Kihampa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Prof Kihampa amezitaka taasisi za elimu ya juu kuzingatia sheria, kanuni na taratibu katika zoezi la udahili ili kuepusha usumbufu usiokuwa na lazima kwa waombaji wa udahili.
Amewataka waombaji kusoma miongozo ya sifa ya kujiunga na programu husika, ili kuona wanakidhi vigezo kabla ya kutuma maombi ya udahili.
Amewataka waombaji wenye changamoto ya kupokea namba za siri ya uthibitishaji katika chuo kimoja, kuingia kwenye mifumo ya udahili wa vyuo walivyodahiliwa na kuomba kutumiwa namba maalum ya siri ili kuweza kuthibitisha katika chuo husika.
Amesema pia waombaji wanashauriwa kutumia barua pepe au mitandao ya simu na udahili ufanyike kupitia akaunti ambayo muombaji alitumia kuomba udahili mwanzoni.
“Taasisi zote za elimu ya juu zinazofanya udahili ziruhusu waombaji kuingia katika mifumo yao na kuwapa namba ya siri ili wafanya udahili na kuthibitisha wao wenyewe,” amesema.
Amesema pia taasisi za elimu ya juu zihakikishe waombaji udahili wanajithibitisha wao wenyewe kupitia akaunti zao na si vinginevyo na wanaotaka kubadili uthibitisho waingie katika akaunti za vyuo, ili wajithibitishe katika chuo kingine.
“Waomba wanaotaka kubadili maombi wafute maombi ya awali na kutuma mapya na vyuo vinatakiwa kutoa elimu kwa umma namna sahihi ya kuwasiliana na vyuo husika ili kuepuka udanganyifu unaoweza kujitokeza,” amesema.
Pia Prof Kihampa ameongeza zoezi la kutuma maombi ya udahili kwa wanafunzi waliopata chuo zaidi ya kimoja linaenda vizuri ambapo hadi jana jumla ya waombaji 23,387 wamethibitisha kati ya 43,213 wanaopaswa kufanya hivyo.
Kihampa amewataka waombaji ambao hawajathibitisha wakamilishe uthibitisho wao kupitia akaunti zao kwenye vyuo wanavyopenda na kwamba hakuna mwanafunzi atakayekosa chuo kwa kushindwa kuthibitisha.
Amefafanua kuhusu taarifa za vyuo kushiriki kukwamisha waombaji kujidahili katika vyuo wanavyotaka Kihampa alisema TCU imejipanga kuhakikisha waombaji wote wanapata udahili bila kukwamishwa na mtu yoyote.
Kihampa amesema jukumu la vyuo ni kushirikiana na wanafunzi ambao wanataka kufanya udahili wa kujiunga na vyuo vyao na si vinginevyo.
“TCU tupo makini sana katika mchakato wa udahili ambao unatumia mifumo zaidi, hatutasita kuchukua hatua kwa chuo ambacho kitabainika kukwamisha wanafunzi kufanya udahili kwenye chuo anachokitaka,” amesema.
Amesema hakuna muombaji wa udahili ambaye atanyimwa fursa ya kuchagua chuo anachokitaka, iwapo ataweza kushindana na ushindani wa chuo husika na kuwataka watakaokwamishwa wawasiliane na TCU.
Prof. Kihampa amesema zipo changamoto za waombaji kuwa wapya, ila isitokee chuo kushiriki kukwamisha maombi ya mwanafunzi.
“Yoyote ambaye amepata udahili katika vyuo zaidi ya kimoja ana uhuru wa kufanya udahili kwenye chuo anachokitaka na isitokee kukwamishwa na mtu yoyote,” amesisitiza.
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
I am making $162/hour telecommuting. E22 I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $21 thousand a month by working on the web, that was truly shocking for me,she prescribed me to attempt it simply,
Copy And Open This Site————->> http://www.SmartCash1.com
Work At Home For USA My buddy makes $164/hr on the computer. She has been unemployed for eight months but last month her but pay check was $25,000 just working on the computer for a few hours.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Rasimu Na. 1
WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20
MUHTASARI WA WARAKA
KICHWA CHA WARAKA
Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).
WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.
MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.
CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.
MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini
.
MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot
MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.
USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala
RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.
W-M A.J.M.K.
XXXXXXXXXXX
hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda
jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)
mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)
mkapa (kuplant those inspiration)
jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)
magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)
ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu
XXXXXXX
Rasimu Na. 1…
WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20
MUHTASARI WA WARAKA
KICHWA CHA WARAKA
Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).
WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.
MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.
CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.
MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini
.
MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot
MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.
USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala
RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.
W-M A.J.M.K.
XXXXXXXXXXX
hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda
jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)
mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)
mkapa (kuplant those inspiration)
jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)
magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)
ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu
XXXXXXX
Rasimu Na. 1..
WBLM NA. …… WA MWAKA 2020/20
MUHTASARI WA WARAKA
KICHWA CHA WARAKA
Mapendekezo ya Kutunga Sheria ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania 2020. (The Institutional Establishment Act, 2011).
WAZIRI ANAYEWASILISHA Waziri wa Viwanda na Biashara.
MUHTASARI WA MAPENDEKEZO Baraza la Mawaziri litoe maamuzi ya msingi ya kuanzisha Wakala wa Carrot Tanzania ya Mwaka 2020.
CHIMBUKO LA WARAKA Changamoto zilizojitokeza katika kusimamia kilimo cha Carrot Tanzania kwa mujibu wa Sheria ya Uwekezaji nchini.
MAMBO MUHIMU YATAKAYOZINGATIWA Kuongeza viwango vya usimamiaji (management) katika shughuli za za uzalishaji wa Carrot nchini na kupunguza uwezekano wa kutokea tatizo la Njaa nchini; Kubadilisha Mamlaka ya utoaji vibali na leseni za mashamba yatakayotumika kuzarisha zao hilo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara; Kuweka utaratibu wa usimamizi wa Kemikali zinazotumika kama malighafi katika uzalishaji wa zao hilo; Kuweka utaratibu wa kuwarasimisha kwa kuwaunganisha na kutoa ajira za kudumu kwa wakulima na wazalishaji wa Carrot kwa kushirikisha mapendekezo ya Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa; Kuwepo kwa utaratibu wa fidia kwa wananchi watakaothibitika kupata madhara yatokanayo na mahitaji ya shughuli za uzalishaji wa zao hilo; na Kuweka utaratibu utakaoanzisha mfumo wa ki – elektroniki wa kuhifadhi takwimu za uzalishaji wa zao hilo nchini
.
MATOKEO YA SHERIA Kupungua au kudhibiti matumizi haramu ya ardhi katika uzalishaji wa zao hilo pamoja na vifaa vyake ikiwemo tractors; Kupunguza gharama za uzalishaji wa kilimo cha Carrot nchini, kupunguza gharama za bei ya bidhaa nchini, Kuimarika kwa usalama katika utunzaji, umilikaji, usafirishaji, ununuzi, uuzaji na utumiaji wa Carrot nchini; Kuongezeka kwa mapato ya Serikali yatokanayo na shughuli za uzalishaji wa Carrot; kuhamasisha shughuliza uhifadhi, elimu, kupack na masoko bidhaa ya bidhaa hiyo na kuwepo kwa mfumo rasmi wa ukusanyaji na utunzaji wa takwimu za uzalishaji wa Carrot
MAHITAJI YA RASILIMALI Jumla ya Shilingi 60,924,500 fedha za ndani na shilingi 70,000,000 fedha za nje zimetengwa katika Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara ya Mwaka 2020/21 kwa ajili ya uanzishawaji wa wakala kwa ajili ya Mishahara, elimu pamoja na majukumu mengine ya Wizara.
USHIRIKISHWAJI WA WADAU Wakati wa kuandaa Waraka, maoni ya wadau mbalimbali yamepatikana kutoka: Wizara za nchi Ofisi ya Rais, (Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora); Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira; Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu; Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Wizara ya Katiba na Sheria; Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; Wizara ya Fedha na Mipango; Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Wizara ya Mifugo na Uvuvi;na Wakulima wadogo wadogo wa Carrot ambao wataajiliwa na Wakala
RATIBA YA UTEKELEZAJIBaada ya Waraka huu kukubaliwa, Rasimu ya Sheria husika itaandaliwa Mwezi Januari, 2021 na kuwasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuandaa muswada.
W-M A.J.M.K.
XXXXXXXXXXX
hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda
jk – kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)
mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)
mkapa (kuplant those inspiration)
jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)
magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)
ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu
XXXXXXX
Kila siku uko PEKE YAKO