Harmonize amvisha pete Kajala

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul maarufu kama ‘Harmonize’, na mwigizaji Frida Kajala, wamevuta hisia za wadau wa burudani baada ya kuvishana pete ya uchumba kwa mara ya pili.

Hatua hiyo imekuja ikiwa ni takriban miaka mitatu tangu walipovishana pete mwaka 2022, kabla ya kutengana na kusitisha mpango wa kufunga ndoa, hali iliyozua maswali mengi kwa mashabiki.

Tukio la sasa limechukuliwa na wengi kama ishara ya dhamira ya dhati ya wawili hao kurejesha mahusiano yao na kufikia hatua ya ndoa. SOMA: Harmonize, Abigail wazindua Hit ya Kimataifa

 

Habari Zifananazo

3 Comments

  1. I make up to $220 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $450h to $890h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now I am hoping I could help someone else out there by sharing this link.Try it, you won’t regret it!.

    HERE→→→→→→→→→→ https://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

  3. Best strategy to make money is online job. most of the people out there making money online. stay at home and makes extra $500 or more online. i have made and received $17532 last month from this easiest job and beleive me i gave this only 2 hrs a day just after my whole busy day. this job is just awesome and regular earning from this are amazing. every person on this earth can get this job and start earning more dollars online by just follow instructions on this page.
    .
    Try it, you won’t regret it­!… https://JobatHome1.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button