Misri yaivua ubingwa Ivory Coast

MOROCCO; MISRI imefuzu nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2025, baada ya usiku huu kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya bingwa mtetezi Ivory Coast.

Mabao ya washindi yamefungwa na Omar Marmoush (dakika ya nne), Ramy Rabia (32) na Mohamed Sakah (52), wakati ya Ivory Coast yamefungwa na Ahmed Abou El Fotouh ambaye alijifunga dakika ya 40 na Guela Doue (73).

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. l Get paid over $110 per hour working from home. l never thought I’d be able to do it but my buddy makes over $21269 a month doing this and she convinced me to try. The possibility with this is endless….

    This is what I do………………………………….. https://Www.Cash54.Com

  2. I am making a real GOOD MONEY (300$ to 400$ / hr )online from my laptop. Last month I GOT check of nearly 18,000$, this online work is simple and straightforward, don’t have to go OFFICE, Its home online job. At that point this work opportunity is for you.if you interested.simply give it a shot on the accompanying site….Simply go to the BELOW SITE and start your work…

    This is what I do………………………………….. ­­­ https://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button