Mwigulu ataka uwanja wa AFCON 2027 ukamilike kwa wakati

WAZIRI MKUU, Dk Mwigulu Nchemba, amemwagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika(AFCON)2027 ahakikishe mradi huo unakamilika kwa wakati.

Ujenzi wa uwanja huo unaojengwa katika kata ya Olomoti, jijini Arusha ni sehemu ya maandalizi ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, yakayofanyika kwenye nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda.


Akizungumza baada ya kupokea taarifa ya ujenzi wa uwanja huo, Waziri Mkuu amemuagiza mkandarasi wa mradi huo kuhakikisha kuwa ujenzi unakamilika kwa wakati na kwa kuzingatia viwango vya kimataifa.

Habari Zifananazo

One Comment

  1. Cash earning job to earns more than $700 per day. getting paid weekly more than $3500 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…

    THIS→→→→ https://Www.FindJobs1.Site

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button