Simba watambulisha kitasa kutoka Mamelodi

DAR ES SALAAM; SIMBA imeanza kutambulisha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali mwaka 2025/26 na usiku huu imeanza na mlinzi wa kati Rushine De Reuck kutoka Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

Rushine inaelezwa pia anamudu kucheza beki wa pembeni na kiungo wa ulinzi.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button