Mgombea ubunge Hanang aomba kiwanda cha nafaka

MANYARA: Mgombea ubunge Jimbo la Hanang kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asia Halamga, ameomba ujenzi wa kiwanda cha nafaka ili kukuza uchumi kwa wananchi.
Asia amewasilisha maombi hayo kwa Mgombea Urais Dk Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni za kunadi sera za chama hicho.
”Tunayo raslimali ya kutosha,tunayo malighafi ya kuzalisha saruji yenye zaidi ya miaka mia moja ambayo ikifanyiwa process tuna uchumi wa viwanda wa kutosha. Tatizo letu ni ukosefu wa viwanda vya kuchakaa malighafi hizo,tunakosa kiwanda,”amesisitiza Halamga.
Hanang ni miongoni mwa wilaya za mkoa wa Manyara ambazo zinazalisha mazao mengi ya biasharaikiwemo ngano, dengu, maharage na alizeti.
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Cash earning job to earns more than $300 per day. getting paid weekly more than $2300 or more simply doing easy work online. no special skills required for this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2 hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this by follow details here…
.
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com