Korosho Marathon 2025 yaiva

MTWARA; BODI ya Korosho kwa kushirikiana na Kampuni ya Makanjiro imeandaa Korosho Marathon 2025 kwa nia ya kuchangisha fedha kununua mashine za kubangua korosho kwa ajili ya wabanguaji wadogowadogo vijijini.
Mkurungezi Mkuu wa bodi hiyo Francis Alfred, amesema hayo wakati wa uzinduzi wa maandalizi ya Korosho Marathon ambayo yamepangwa kufanyika 29 Novemba mwaka huu.
Amesema hatua hiyo imelenga kuhamasisha ubanguaji wa korosho ndani ya nchi katika kufikia lengo la serikali la kubagua korosho zote nchini ifkapo 2030.
Francis amesema wabanguaji wadogowadogo wakiwemo wakulima wamekuwa wakinbagua korosho kwa kutumia mashine za kawaida (manila), ambazo zinachukua muda mwingi kubangua.
“Mwaka huu tumepanga kuwapa wakulima ambao wamejiunga kwenye vikundi kwa ajili ya kuanza kubangua korosho, na Marathon ni ya sehemu ambayo tunategemea kupata fedha, kwa ajili ya kununua hizo mashine,”amesema.
Amesema bodi kwa mwaka huu imetanga Sh milioni 200 kununua mashine.
Mbio hizo za marathon zitanguliwa na maonesho mbalimbali ya bidhaa za korosho na shughuli nyingine za korosho kuanzia Novemba 24.




JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com
A