Chakula cha ziada chafikia tani milioni 5

TANGA: Kutokana na uboreshwaji wa mifumo ya uzalishaji wa chakula ikiwemo utafiti, imewezesha nchi kuwa na ziada ya chakula zaidi ya tani milioni 5 katika kipindi cha msimu wa 2024/25
Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Dk Stephen Nindi alipozungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani ambayo kitaifa yanafanyika mkoani Tanga.
Amesema kuwa mafanikio hayo yametoka na ongezeko la bajeti ya wizara hiyo ambayo imewezesha kuboresha mifumo ya uwagiliaji,ruzuku za pembejeo kwa wakulima sambamba na utoaji wa chanjo ya mifugo.
“Utoaji wa ruzuku hizo umesaidia ongezeko la uzalishaji wa mazao kutoka tani milioni 18.9 mwaka 2021 hadi kufikia tani milioni 22 mwaka huu,”amesema Naibu Katibu Mkuu huyo.
Hata hivyo Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dk Batlida Burian amesema kuwa mkoa unaendelea kusimamia kwa ukamilifu mpango wa serikali wa uzalishaji wenye tija.
“Katika msimu wa kilimo wa mwaka 2024/25 takribani tani milioni 2 za mazao ziliweza kuzalishwa huku mahitaji halisi ya mkoa yakiwa ni tani 621,025
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com