Vijana Mwanza wahamasishwa uchaguzi mkuu

MWANZA: VIJANA nchini wameshauriwa kujitokeza kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 ili waweze kupiga kura ikiwa ni sehemu ya kutimiza wajibu wao kikatiba.
Rai hiyo imetolewa leo na Waziri mstaafu Lazaro Nyalandu wakati wa mahojiano malumu na wandishi wa habari Mkoa wa Mwanza.

Nyalandu ameshauri vijana watumie fursa ya demokrasia ya Uhuru wa Tanzania kwa kupiga kura pamoja na kusaidia wazee wanapokuwa katika foleni ya upigaji kura.
“Nawaomba vijana kushawishiana kwenda kupiga kura na vijana wanapopiga kura ni jambo jema sana. Nawaomba vijana wajitaidi kutunza amani kwakuwa amani ukipoteza hairudi kirahisi. Amani ni tunu kubwa sana na tuilinde,” amesema.
Ameongeza kuwa tusiruhusu mtu yoyote avunje amani yetu. Amesema tofauti na vijana, naiomba jamii ya Kanda ya Ziwa kujitokeza vituoni kwenda kupiga kura.




JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com