Rais Mwinyi akutana na ujumbe wa SEOM

ZANZIBAR: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amekutana na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SEOM) Ikulu, Zanzibar.
 
Ujumbe huo unaoongozwa na Spika Mstaafu wa Bunge la Malawi, Richard Msowoya umemueleza Rais Mwinyi kuwa SEOM imejipanga kupeleka wajumbe wake katika maeneo yote visiwani Zanzibar.
 
Aidha, wakiwa Visiwani Zanzibar, ujumbe wa SEOM umekutana na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) pamoja na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..

    .

    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button