Wavamizi maeneo ya shule Geita waonywa

GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuripotiwa kwa changamoto ya baadhi ya wananchi kuvamia na kujenga ndani ya eneo la shule ya msingi Nyantindili iliyopo halmashauri ya Manispaa ya Geita.
Shigela ametoa maagizo hayo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Geita ikiwemo miradi ya elimu na barabara.
Amesema maeneo ya taasisi za umma ikiwemo shule yanapaswa kulindwa ili ziendelee kuwa na hifadhi ya aridhi ya akiba maalum kwa uendelezaji na upanuzi wa huduma pale inapohitajika.
Shigela ameongeza kuwa hifadhi ya maeneo ya taasisi unasaidia kuondoa ulazima wa serikali kulipa fidia kwa wananchi pale ambapo kuna mahitaji ya upanuzi wa huduma za kijamii.
“Haya maeneo siyo ya mkurugenzi, kwa hiyo tukiendelea kuruhusu maeneo yetu kuvamiwa, Watoto wetu watalazimika kutembea umbali mrefu kufuata shule zenye maeneo.
“Kwa hiyo ulinzi wa eneo hili usiwe wa Mwalimu Mkuu pekee yake, au mwenyekiti wa mtaa sisi sote tuulize tukiona mtu anajenga kwenye eneo la shule” amesema Shigela.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amesema ulinzi wa raslimali za umma unashirikisha jamii nzima na kila mtu anawajibika.
Kamanda Jongo amesema katika kuunga mkono juhudi za serikali jamii nzima inapaswa kuisaidia serikali kwa kusimamia suala la malezi na kuwasimamia kikamirifu kuepuka tabia hatarishi.
Awali Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi, Nyantindili halmashauri ya manispaa Geita, Helen Ndimubenya amesema serikali imetoa sh milioni 163 kuboresha miundombinu ya shule hiyo.
Helen amesema kati yake pesa za mradi wa Boost ni sh milioni 88.6, mapato ya ndani kiasi cha sh milioni 50 pamoja na pesa za serikali kuu kiasi cha sh milioni 25.




I was just looking for something flexible to do from home, and this turned out way better than I thought. It’s easy to start, doesn’t take much time, and it actually pays. Not one of those “too good to be true” things — just real work at home that fits your day.12
Check it out → https://usbs0.blogspot.com/
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Nchi ya Syria ndio inaongoza kuwa na watu wengi chini ya himaya ya UNHCR ambako kuna jumla ya wakimbizi milioni 6.8, nchi inayofuata ni Venezuela ambayo ina jumla ya wakimbizi milioni 4.9.
Nchi nyingine mbili ni Afghanistan inayoshika nafasi ya tatu kwakuwa na idadi ya wakimbizi milioni 2.8 ikifuatiwa na taifa changa zaidi Afrika, nchi ya Sudan Kusini ambayo ina jumla ya wakimbizi milioni 2.2. Myanmara inashika nafasi ya 5 ikiwa na wakimbilizi Milioni 1.1 wanaosimamiwa na shirika hili la Umoja wa Mataifa
Nchi ya Colombia, taifa hili linahifadhi wakimbizi kutoka nchi mbalimbali lakini wanaoongoza kwa idadi kumbwa ni Venezuela ambao wako zaidi ya milioni 1.7.
Ujerumani inashika nafasi ya tatu duniani kwakuwa na idadi kubwa ya wakimbizi ambako takwimu zinaonesha jumla yao ni takriban milioni 1.5, katika nchi hii pia raia wa Syria pamoja na waomba hifadhi wanafikia asilimia 44 ya wakimbizi wote.
Mataifa yanayoshika namba 4 na 5 ni Pakistan na Uganda ambayo yamehifadhi jumla ya wakimbizi milioni 1.4 kila moja.
Takriban watoto milioni moja wamezaliwa nje ya mataifa yao kati ya mwaka 2018 na 2020, idadi hii ni sawa na uwiano wa watoto kati ya 290,000 na 340,000 kwa mwaka.
Takriban watoto milioni moja wamezaliwa nje ya mataifa yao kati ya mwaka 2018 na 2020, idadi hii ni sawa na uwiano wa watoto kati ya 290,000 na 340,000 kwa mwaka.
Watoto hawa wapo kwneye hatari ya kuendelea kuishi uhamishoni kwa miaka mingi zaidi na wengine maisha yao yote bila kurejea kwenye taifa lao la Venezuela.
Takriban watoto milioni moja wamezaliwa nje ya mataifa yao kati ya mwaka 2018 na 2020, idadi hii ni sawa na uwiano wa watoto kati ya 290,000 na 340,000 kwa mwaka.
Watoto hawa wapo kwneye hatari ya kuendelea kuishi uhamishoni kwa miaka mingi zaidi na wengine maisha yao yote bila kurejea kwenye taifa lao la Venezuela.
Pamoja na kuwa wakimbizi wanakuwa wa rika zote lakini takwimu za UNHCR zinaonesha watoto wamechukua asilimia 30 ya wakimbizi wote duniani.
Takriban watoto milioni moja wamezaliwa nje ya mataifa yao kati ya mwaka 2018 na 2020, idadi hii ni sawa na uwiano wa watoto kati ya 290,000 na 340,000 kwa mwaka.
Watoto hawa wapo kwneye hatari ya kuendelea kuishi uhamishoni kwa miaka mingi zaidi na wengine maisha yao yote bila kurejea kwenye taifa lao la Venezuela.
Pamoja na kuwa wakimbizi wanakuwa wa rika zote lakini takwimu za UNHCR zinaonesha watoto wamechukua asilimia 30 ya wakimbizi wote duniani. .
Takriban watoto milioni moja wamezaliwa nje ya mataifa yao kati ya mwaka 2018 na 2020, idadi hii ni sawa na uwiano wa watoto kati ya 290,000 na 340,000 kwa mwaka.
Watoto hawa wapo kwneye hatari ya kuendelea kuishi uhamishoni kwa miaka mingi zaidi na wengine maisha yao yote bila kurejea kwenye taifa lao la Venezuela.
Pamoja na kuwa wakimbizi wanakuwa wa rika zote lakini takwimu za UNHCR zinaonesha watoto wamechukua asilimia 30 ya wakimbizi wote duniani.
Kwakutazama uwiano wa mabara, nchi tatu za Kusini mwa jangwa la Sahara ndio zinazo ongoza kuwa na idadi kubwa ya wakimbizi watoto.
Takriban watoto milioni moja wamezaliwa nje ya mataifa yao kati ya mwaka 2018 na 2020, idadi hii ni sawa na uwiano wa watoto kati ya 290,000 na 340,000 kwa mwaka.
Watoto hawa wapo kwneye hatari ya kuendelea kuishi uhamishoni kwa miaka mingi zaidi na wengine maisha yao yote bila kurejea kwenye taifa lao la Venezuela.
Pamoja na kuwa wakimbizi wanakuwa wa rika zote lakini takwimu za UNHCR zinaonesha watoto wamechukua asilimia 30 ya wakimbizi wote duniani.
Kwakutazama uwiano wa mabara, nchi tatu za Kusini mwa jangwa la Sahara ndio zinazo ongoza kuwa na idadi kubwa ya wakimbizi watoto.
Afrika Magharibi na Jamhuri ya Afrika ya Kati zina idadi kubwa zaidi ya wakimbizi wanawake na wasichana ambao jumla yake ni asilimia 54 zaidi ya nchi nyingine yeyote.
By the end of April 2025, more than 122 million people were forcibly displaced worldwide as a result of persecution, conflict, violence or human rights violations. This includes:
42.7 million refugees
73.5 million internally displaced people
8.4 million asylum seekers
5.9 million people in need of international protection, a majority from Venezuela
I make up to $90 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $40h to $86h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now i am hoping i could help someone else out there by sharing this link…
Try it, you won’t regret it!….. https://www.job40.media