Ali Kiba kutumbuiza AFL uwanja wa Mkapa

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba atakuwa miongoni mwa wasinii watakaotumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa mashindano ya African Football League Ijumaa hii uwanja wa Mkapa.

Ofisa habari na mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ametoa kauli hiyo leo alipozungumza na Azam TV.

“Yah Ali Kiba atakuwa mmoja ya watumbuizaji.” amesema Ahmed.

Ufunguzi wa michuano hiyo itafanyika Ijumaa kwa mchezo mmoja wa Simba SC dhidi ya Al-Ahly.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button