Mhariri, gazeti la HabariLEO

Afya

Kongole Tanzania kudhibiti kifua kikuu, vita iendelee

VITA dhidi ya magonjwa ilianza tangu nchi ilipopata uhuru wakati Mwalimu Julius Nyerere alipotangaza maadui watatu wa Tanzania kuwa ni…

Soma Zaidi »
Featured

Sera ya ardhi yaja na malengo 16 mahsusi

SERA ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka 1995 Toleo la 2023 ina lengo la kuhakikisha kuna mfumo madhubuti wa umiliki…

Soma Zaidi »
Featured

Mawakili wa serikali wafundwa maslahi ya taifa

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema ofi si yake imeweka mkakati wa kuwajengea umahiri mawakili wa serikali katika kuishauri…

Soma Zaidi »
Featured

Wasira aonya rushwa wagombea CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kina taarifa baadhi ya wanachama wanaotaka ubunge wameanza kukiuka maadili kwa kutoa rushwa. Makamu Mwenyekiti…

Soma Zaidi »
Featured

INEC yapewa ushauri kugawa majimbo

WADAU wa masuala ya siasa wameshauri mchakato wa kugawa majimbo uzingatie maslahi ya wananchi na si maslahi binafsi ya kisiasa.…

Soma Zaidi »
Featured

Ushirikiano Tanzania, Korea kuleta mageuzi sekta ya madini nchini

NAIBU Waziri wa Madini Dk Steven Kiruswa amesema kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na matumizi ya Madini Muhimu duniani, Tanzania…

Soma Zaidi »
Kanda

Watano wafikishwa mahakamani kwa kukwepa kodi Kagera

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kagera imewafikisha Mahakamani wafanyabiashara watano na kuwafungulia mashtaka tisa ya uhujumu uchumi ikiwemo…

Soma Zaidi »
Kanda

BUWASA yafikisha huduma ya maji mjini 93%

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Bukoba (BUWASA) mkoani Kagera imeendelea kutekeleza miradi ya maji ambapo hadi kufikia…

Soma Zaidi »
Jifunze Kiswahili

Jifunze Kiswahili

We proceed with the word which start with letter H,to day we discuss the word which is Hodi and Hodari…

Soma Zaidi »
Featured

Waziri Mkuu azindua lango la utalii Hifadhi ya Mkomazi

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 25 amezindua lango la kuingia na kutoka watalii la Ndea kwenye Hifadhi ya Taifa…

Soma Zaidi »
Back to top button