Na Brighiter Masaki

Tanzania

Mradi mpya kupunguza msongamano bandari ya Dar

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema eneo la Kurasi Logistics Park linatarajiwa kuanza kutumika kama sehemu…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Kairuki apongeza upanuzi huduma za intaneti

DAR ES SALAAM: Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amesema upanuzi wa huduma za intaneti kupitia mkongo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mbegu bora, chachu ya kilimo cha ushindani

IRINGA: Wakulima mkoani Iringa wametakiwa kuanza maandalizi ya msimu mwingine wa kilimo kwa kuchagua na kutumia mbegu bora, zilizoidhinishwa na…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Washiriki 2,000 watarajiwa kushiriki Dar Night Run 2026

DAR ES SALAAM: ZAIDI ya watu 2,000 wanatarajiwa kushiriki mbio za Dar Night Run 2026 zilizoandaliwa na The Runners Club…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

Songwe yaongoza njia mageuzi ya kiuchumi Dira 2050

SONGWE: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Mkoa wa Songwe unapaswa kutazamwa kipekee…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mwenge wazindua madarasa Kagongwa

SHINYANGA: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi la jengo la vyumba vitatu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Vikundi vya michezo kunufaika mikopo asilima 10

MOROGORO: MBUNGE wa Jimbo la Mvomero, mkoani Morogoro, Sara Msafiri, amevitaka vikundi ambavyo vitashiriki kwenye tamasha la michezo kwenye jimbo…

Soma Zaidi »
Afya

Bunifu MUHAS suluhisho za changamoto za afya

TANGA: Ubunifu wa wanafunzi na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) umeendelea kuibua matumaini kwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kamati yapongeza polisi kuimarisha usalama

DODOMA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Jeshi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Vijana wasisitize kwa na maono ya maisha

SHINYANGA: VIJANA wametakiwa kuwa na maono ya maisha na kutumia mitandao ya kijamii kutafuta fursa za maendeleo badala ya kutumia…

Soma Zaidi »
Back to top button