Na Brigiter Masaki

Tanzania

Dar yaomba bajeti Sh bil 992 miradi, mishahara

DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema mkoa huo unaomba kuidhinishiwa bajeti ya mwaka…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ujenzi waiva kituo cha polisi Mchinga

LINDI: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema Serikali itaanza ujenzi wa kituo kipya cha…

Soma Zaidi »
Siasa

‘Vyombo vya ulinzi na usalama viheshimiwe’

SHINYANGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCMA), Kenani Kihongosi amewataka wananchi kuheshimu vyombo vya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Shinyanya kuwa kitovu uchumi kanda ya ziwa

SERIKALI ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imejipanga kuhakikisha Mkoa wa Shinyanga unakuwa kitovu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Masauni atoa maagizo matano bodi ya NCMC

DAR ES SALAAM: Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ametoa maagizo…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Vijana kupewa nafasi ushirikiano CCM, Frelimo

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Frelimo cha Msumbiji vimekubaliana kuwashirikisha vijana ili wafahamu uhusiano uliopo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mkandarasi aelekezwa kuongeza kasi ujenzi stendi

SINYANGA: MKANDARASI aliyepewa kazi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi mpya ya mabasi ya Katunda mkoani shinyanga ameelekezwa…

Soma Zaidi »
Wanawake

Mkurugenzi Mtendaji TSN asifu mchango wanawake

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Asha Dachi, amepongeza kuongezeka kwa ushiriki wa wanawake…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ayoub ahimiza ufanisi huduma zimamoto

MWANZA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahomud amewahimiza askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji…

Soma Zaidi »
Biashara

Sekta ya huduma kipaumbele uchumi SADC

DAR ES SALAAM :Sekta ya huduma imetajwa kuwa nguzo muhimu ya kukuza uchumi ndani ya Tanzania na Ukanda wa nchi…

Soma Zaidi »
Back to top button