Rahimu Fadhili

Featured

Tanzania yapiga hatua mifumo ya malipo kikanda

MOROCCO: Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuunganishwa na mifumo ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

TRA yakusanya tril 9.31/- miezi mitatu

DAR ES SALAAM: Ushirikiano baina ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Walipakodi umetajwa kuwezesha Mamlaka hiyo kuandika historia mpya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Rai aipongeza TRA utendaji saa 24

MSIMAMIZI wa Bohari ya kuhifadhia Mafuta (DEPOT)ya MOIL ENERGIES Dk. Sajad Habib Rai ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa kuweka…

Soma Zaidi »
Biashara

Vodacom yajikita uchumi wa kidijiti

DAR ES SALAAM: Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano Vodacom Tanzania imeendelea kujikita katikati kukuza uchumi kupitia maendeleo ya kidijiti kwa…

Soma Zaidi »
Biashara

Kapinga aipa FCC maagizo udhibiti bidhaa bandia

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameiagiza Tume ya Ushindani (FCC) kuweka nguvu upya kuhusu udhibiti…

Soma Zaidi »
Uwekezajia

Uwekezaji waimarika Tanzania robo ya kwanza

DAR ES SALAAM: Hali ya uwekezaji nchini imeendelea kuimarika katika kipindi cha Januari hadi Machi 2026, ikichochewa na mazingira rafiki…

Soma Zaidi »
Jamii

TRA Dodoma yawafariji wenye uhitaji

DODOMA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imetembelea kaya za watu wenye ulemavu wa macho kwa lengo la…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Maofisa Michezo wasisitizwa kuibua vipaji ngazi ya chini Arusha

ARUSHA: Maofisa michezo nchini wametakiwa kuhakisha wanasimamia vyema suala la kuibua vipaji kuanzia ngazi za chini ili kuweza kuwa na…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Tanzania yajipanga kuongeza ushiriki FEASSSA

ARUSHA: Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Yusuph Singo amewaelekeza maofisa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Makonda mgeni rasmi Kitambi Noma Bonanza

ARUSHA: WAZIRI wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Paul Makonda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la 10 la Kimataifa la…

Soma Zaidi »
Back to top button