Na Sijawa Omary, Masasi

Tanzania

Wakazi Chilimba waishukuru serikali ujenzi shule mpya

MTWARA: WAKAZI wa kijiji cha Chilimba kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara wameishukuru serikali kwa kuwaletea ujenzi wa…

Soma Zaidi »
Biashara

Kapinga ahimiza ulinzi wa mitaji, biashara zisaidiwe kukua

LINDI: WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amewataka watendaji wa serikali na taasisi za udhibiti kuwa wawezeshaji wa biashara…

Soma Zaidi »
Siasa

Kihongosi: Vijana ni walinzi wa nchi yetu

IRINGA: Katibu NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi,  amesisitiza kuwa vijana ndio walinda nchi, hivyo wanatakiwa kuilinda amani ili…

Soma Zaidi »
Tanzania

Makalla asisitiza ushirikiano mapambano dhidi ya rushwa

ARUSHA: MKUU wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla, amesema mapambano dhidi ya rushwa hayawezi kuachiwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Kijaji akagua miradi ya Sh bilioni 110.4 Kagera

KAGERA: Waziri wa Maliasili na Utalii na Mlezi wa Mkoa wa Kagera, Dk Ashatu Kijaji, amehitimisha ziara ya siku tano…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kamachumu Stars bingwa kombe la Mwijage

KAGERA: Timu ya Kamachumu Stars imeibuka bingwa wa mashindano ya Paul Mwijage Cup baada ya kuifunga Kanoni FC kwa bao…

Soma Zaidi »
Afya

RUWASA yaagizwa kutatua kero ya maji hospitali ya Ngara

KAGERA: Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji, ambaye ni Mlezi wa Mkoa wa Kager, ameiagiza Wakala wa Maji…

Soma Zaidi »
Tanzania

Prof Mkumbo aunga mkono juhudi za THRDC

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais–Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amepongeza Mtandao wa Watetezi wa Haki…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kampuni yashinda tuzo Tehama

DAR ES SALAAM: Kampuni ya Mainstream Group Limited imeshinda tuzo mbili katika Tuzo za Tehama Awards 2026, ikiwemo nafasi ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanafunzi Tanzania watimkia India masomoni

DAR ES SALAAM: Mamia ya wanafunzi  wanatarajia kwenda masomoni kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchini India kuanzia wiki ijayo kupitia Wakala…

Soma Zaidi »
Back to top button