Bil 146/- kujenga barabara za lami Ilala

DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema wilaya hiyo inatekeleza ujenzi wa barabara za lami zenye jumla ya kilomita 146 kwa thamani ya Sh bilioni 140.
Amesema fedha hizo zimetolewa na Serikali kupitia Rais Samia Suluhu Hassan, na ujenzi huo unafanyika chini ya Mradi wa Uboreshaji Miundombinu ya Jiji la Dar es Salaam (DMDP) awamu ya pili.

Mpogolo aliyasema hayo mwishoni mwa wiki alipokuwa katika ziara ya kukagua barabara zitakazonufaika na mradi huo. Alieleza kuwa kukamilika kwa barabara hizi kutapunguza adha ya wananchi kusafiri na pia kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa jiji.
“Katikati ya Jiji la Dar es Salaam tunajenga barabara zenye jumla ya kilomita 15. Tunamshukuru Rais Samia,” alisema Mpogolo.

Alitaja baadhi ya barabara zitakazojengwa kuwa ni Banana–Kitunda–Kivule hadi Msongola na Kivule–Majohe Njia Nne.
“Pia tutajenga Barabara ya Migombani–Kiwalani, Barabara ya Banana–Kitunda, na Barabara ya Baracuda–Chang’ombe hadi Majichumvi,” alieleza Mpogolo.
Alizitaja barabara nyingine kuwa ni Daraja la Majumba Sita–Segerea na Barabara ya Tabata–Maweni–Kisiwani.

Mpogolo aliwataka wakandarasi kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati bila visingizio, ikiwemo visingizio vya mvua.
“Wakandarasi fanyeni kazi usiku na mchana. Dhamira ya Rais Dk. Samia ni kuona miradi hii inakamilika na iwanufaishe wananchi,” alisisitiza.
Mpogolo aliutaka uongozi wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (TARURA) Wilaya ya Ilala kusimamia kikamilifu wakandarasi hao ili miradi ikamilike kwa viwango na kwa thamani ya fedha.
Mpogolo pia aliwaonya wananchi kuacha mara moja tabia ya kutiririsha maji machafu kwenye barabara, jambo linaloharibu miundombinu.
“Kuna watu wanapitisha maji yenye kinyesi kwenye mitaro ya mvua na barabara. Hii inaharibu barabara, mazingira na inaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa,” aliainisha.
Kwa upande wake, Meneja wa TARURA Wilaya ya Ilala, Mhandisi John Magori, alisema mbali na barabara, pia wanajenga madaraja mbalimbali kupitia DMDP, ikiwemo Daraja la Segerea–Majumba Sita.
“Daraja hili lina urefu wa mita 80 na litagharimu Sh bilioni 7. Uko katika hatua ya kuweka nguzo ambapo litakuwa na jumla ya nguzo 54; kwa sasa tunaweka nguzo 27,” alisema Magori.




I have just received my 3rd payment order and $30,000 that I have built up on my laptop in a month through an online agent. This job is good and his regular salary is much better than my normal job.” Work now and start making money online yourself.
Go here……>>>>>https://Www.Homeprofit1.site
Harakati za kutafuta bafu – hazikumuacha salama
https://txxx.com/videos/20115219/pawgqueen-backshots-doggy-style-by-bbc-ryan-smiles-and-jonathan-jordan/
Harakati za kutafuta bafu – hazikumuacha salama
https://txxx.com/videos/20115219/pawgqueen-backshots-doggy-style-by-bbc-ryan-smiles-and-jonathan-jordan/
I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com