Bunge laipongeza serikali, Ulega kwa usafiri kurejea Kusini

BUNGE limeipongeza Serikali na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega kwa kuchukua hatua za haraka kurejesha mawasiliano kwenye barabara ya Kusini.

Akizungumza bungeni leo, Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, amesema hatua zilizochukuliwa za kurejesha mawasiliano zimepunguza mateso kwa wananchi na kuruhusu kuendelea kwa shughuli za uchumi.

Tangu kuharibiwa kwa barabara hiyo kutokana na mvua zillizosababisha mafuriko, Ulega na watendaji kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS) waliweka kambi katika maeneo ya Somanga Mtama na Matandu ili kurejesha usafiri katika hali ya kawaida.

Naibu Spika pia amewapongeza mawaziri wote walioshiriki katika kuhakikisha mawasiliano yanarejea kwa wakati.

Habari Zifananazo

9 Comments

  1. I’m amazed, I have to admit. Rarely do I come across a blog that’s both equally educative and amusing, and without a doubt, you have hit the nail on the head.
    The problem is something that too few men and women are speaking intelligently
    about. I’m very happy I came across this in my search for something relating to this.

  2. Great post. I was checking continuously this blog
    and I am impressed! Very helpful information specifically the last part 🙂
    I care for such information a lot. I was seeking this certain information for a long time.

    Thank you and good luck.

  3. of course like your web-site however you need to check the spelling on several of
    your posts. Many of them are rife with spelling issues and
    I to find it very bothersome to inform the reality on the other hand I’ll
    surely come again again.

  4. Unquestionably imagine that which you stated. Your favorite justification seemed to be on the net the simplest
    factor to keep in mind of. I say to you, I certainly get irked even as folks think about issues that they plainly don’t recognize about.
    You controlled to hit the nail upon the highest as neatly as defined out the
    whole thing with no need side effect , people could take a signal.
    Will probably be again to get more. Thanks

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button