Afya

Serikali Shinyanga yaahidi kusaidia watoto yatima

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita ametoa ahadi kwa watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu kuwanunulia sare za…

Soma Zaidi »

TMDA kudhibiti matumizi holela dawa za kulevya

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), imetoa mafunzo maalumu kwa waganga wafawidhi, wafamasia na wakaguzi wa dawa kutoka wilaya…

Soma Zaidi »

Watoto 13 wazaliwa Krismasi Dar

WAKATI waumini wa dini ya Kikristo nchini na duniani wakiendelea kusherehekea Sikukuu ya Krismasi ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo, watoto…

Soma Zaidi »

Tanzania yaweka mikakati mipya upatikanaji dawa

DAR ES SALAAM: WIZARA ya Afya imetangaza rasmi mwelekeo mpya wa kimkakati wa kuharakisha ujenzi wa viwanda vya dawa na…

Soma Zaidi »

Tanzania kuingia ramani ya dunia uzalishaji wa dawa

SERIKALI imetangaza rasmi mwelekeo mpya wa kimkakati wa kuharakisha ujenzi wa viwanda vya dawa na bidhaa za afya nchini kwa…

Soma Zaidi »

Wadau waomba vituo upimaji watoto wenye ulemavu

MOROGORO: WADAU wa maendeleo ya sekta ya elimu wameiomba serikali kujenga vituo vya ubainishaji na upimaji kwa watoto wenye ulemavu…

Soma Zaidi »

MOI yahudumia asilimia 62 ya ajali za bodaboda

TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imesema imetimiza malengo iliyojiwekea ya kuwahudumia wagonjwa kwa zaidi ya asilimia…

Soma Zaidi »

Kituo cha afya Engarenaibor chapata ‘ambulance’ ya Kisasa

ARUSHA: ZAIDI ya wakazi 30,000 wa vijiji 11 vya Tarafa ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha wameondokana na changamoto kusaka…

Soma Zaidi »

JKCI yatoa mil 200/- kwa mwezi msamaha wagonjwa wa moyo

MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dk Peter Kisenge amesema taasisi hiyo imekuwa ikitoa msamaha wa takribani…

Soma Zaidi »

Waandishi wa habari kupimwa moyo bure

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) inatarajia kufanya upimaji wa siku mbili wa magonjwa ya moyo bure kwa waandishi…

Soma Zaidi »
Back to top button